Siasa na Vitimbi vya Kombe la Dunia Lilipotua Bongo!!

hehhe kama aliweza kuvaa nguo ya kumsifia Bush kwa nn asiwe kimbele mbele kushika hilo kombe!!!
 
kiukweli inatia mashaka hata kama hizi kelele tunazopiga humu JF hao jamaa huwa wanasikiliza au kuzisoma.

Maana yake katika press releases zote za ziara ile na prep ya ziara ile kwa mataifa mbalimbali, ilisemwa ni Rais wa nchi tu, ndiye anayepaswa kulishika lile kombe. sasa hapo protocol ifanye nini?
 
Mbona mimi kwenye michuzi blog nimemuangalia na kuona mama kalishika kombe hilo pamoja na Mheshimiwa Rais.

Kombe+la+Dunia+%282%29.JPG

Mumewe naye kavunja protokali, kazi kweli kweli.
 
Mbona mimi kwenye michuzi blog nimemuangalia na kuona mama kalishika kombe hilo pamoja na Mheshimiwa Rais.

Kombe+la+Dunia+%282%29.JPG

Mimi niliona kwenye tv. mheshimiwa alimpelekea mkewe alipolishika tu huyo mzungu hapo kulia akamfuata akamwambia no no kwa ishara ya mkono mama wa kwanza akaliachia
 
Back
Top Bottom