Siasa na matajiri mkoa wa Mwanza

Siasa na matajiri mkoa wa Mwanza

Gachuma alitoa ukumbi bure (Mwanza Hotel) kwa wauguzi wafanyie sherehe ya siku ya wauguzi duniani, nikiwa mjumbe wa kamati ya sherehe nilipendekeza mgeni wa heshima awe mbunge wa Nyamagana (CDM), nichoambukia ni kupigwa ban ya kwenye kamati! CCM oyeeee!
 
Huyo Gachuma mwizi alikwapua warehouse ya General Tyre iliyoko maeneo ya Pugu Dar.
 
Ukiangalia vigogo wengi wenye pesa mkoa wa MWANZA ndio wanashikiri nyazifa kubwa katika CCM mkoa wa MWANZA. HIVI NI LAZIMA KILA MWENYE PESA NDEFU MWANZA AINGIE KWENYE SIASA? KUNA UHUSIANO GANI SIASA NA UTAJIRI MWANZA.

GACHUMA
KITWANGA MAWE MATATU
DIALLO
LAMECK KAIRO
KISHIMBA
MASHA
Muongo, Red hana time na mi siasa!
 
Back
Top Bottom