Pre GE2025 Mzee Wasira apokelewa rasmi Mwanza, ateta na kamati ya siasa ya mkoa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
1,441
919
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Ndugu Stephen Wasira amepokewa rasmi mkoani Mwanza na kuzungumza na Kamati ya Siasa ya mkoa huo, katika Ofisi Kuu ya CCM Mkoa wa Mwanza.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hapo baadae Wasira atahutubia mkutano ulioandaliwa na CCM mkoani humo ambao pia utahudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na viongozi wa Chama na serikali Mkoa wa Mwanza.

20250211_151716.jpg
20250211_151722.jpg
20250211_151726.jpg
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Ndugu Stephen Wasira amepokewa rasmi mkoani Mwanza na kuzungumza na Kamati ya Siasa ya mkoa huo, katika Ofisi Kuu ya CCM Mkoa wa Mwanza.

Hapo baadae Wasira atahutubia mkutano ulioandaliwa na CCM mkoani humo ambao pia utahudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na viongozi wa Chama na serikali Mkoa wa Mwanza.
Kwa mara ya kwanza nitapiga kura yangu kwa CCM siyo CHADEMA ya uongozi huu
 
Back
Top Bottom