kochakindo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 784
- 531
kwahiyo unataka tukukubali wewe?
nilimuuliza aliyekua anakwambia kuwa wewe na mbishi kwani alitaka tufuate asemayo yeye tu?
kwahiyo unataka tukukubali wewe?
mwaka huu ni mwaka ambao mkoa wa kigoma utashuhudiwa na ushindan mkali sana. Mimi nipo kasulu hapa na sitaki kusema mengi ila mkoa wa kigoma huwa hakuna siasa mchwara. kwa vyama vinavyo tegemea kupata wabunge katika mkoa huu kwa kweli jipangeni sana. ndugu zangu nccr jipangeni sana maana wabunge wenu wote wanatokea huku lasivyo mtaambulia kwa kafulila tu. kwa upande wa ccm huku in marehemu kabisa. act wazalendo kinakuja kwa kasi sana huku kigoma. Mimi ni mwanachadema ukweli ni kwamba chadema tujipange vizuri huku kigoma. huo no ushauri wangu tu sina chuki na yeyote. karibuni.
huyo zito na ACT yake hana lolote kigoma, labda jimboni kwake tu! majimbo mengine ukawa ndo mpango mzima,hatuna muda na Act maana tunajitambua huenda huyu zito ameandaliwa na bwana mkubwa inabidi tuwe macho na mambo mapya maana mhmh ...TUTAFUTE UKWEL SIASA SAFI NDO MAENDELEO.
Uelewa unamanisha nini? Umefanya utafiti gani? Je kwa kigezo hichohicho cha uelewa unavilinganishaje vijiji hivyo na vile vya Kalinzi, Mkabogo, Matyazo, Mkongoro, Nyatubanda, Mkigo, Zashe ambavyo vingi vipo vinaongozwa na CDM.?
mwaka huu ni mwaka ambao mkoa wa kigoma utashuhudiwa na ushindan mkali sana. Mimi nipo kasulu hapa na sitaki kusema mengi ila mkoa wa kigoma huwa hakuna siasa mchwara. kwa vyama vinavyo tegemea kupata wabunge katika mkoa huu kwa kweli jipangeni sana. ndugu zangu nccr jipangeni sana maana wabunge wenu wote wanatokea huku lasivyo mtaambulia kwa kafulila tu. kwa upande wa ccm huku in marehemu kabisa. act wazalendo kinakuja kwa kasi sana huku kigoma. Mimi ni mwanachadema ukweli ni kwamba chadema tujipange vizuri huku kigoma. huo no ushauri wangu tu sina chuki na yeyote. karibuni.
Uchawi tu mnatumia,na uchawi ni kwa msiojielewa ndo maana hamuendelei huo mji!!
Kwassbb mna laana ya kumuabudu shetani badala ya Mungu!
Hatutaki viongozi wachawi