rusesa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 538
- 234
mwaka huu ni mwaka ambao mkoa wa kigoma utashuhudiwa na ushindan mkali sana. Mimi nipo kasulu hapa na sitaki kusema mengi ila mkoa wa kigoma huwa hakuna siasa mchwara. kwa vyama vinavyo tegemea kupata wabunge katika mkoa huu kwa kweli jipangeni sana. ndugu zangu nccr jipangeni sana maana wabunge wenu wote wanatokea huku lasivyo mtaambulia kwa kafulila tu. kwa upande wa ccm huku in marehemu kabisa. act wazalendo kinakuja kwa kasi sana huku kigoma. Mimi ni mwanachadema ukweli ni kwamba chadema tujipange vizuri huku kigoma. huo no ushauri wangu tu sina chuki na yeyote. karibuni.