Siasa basi Mchungaji Rwakatare


Wazushi na wasengenyaji kwao ni.ziwa la moto.

Kwa taarfa yako,Lwakatare ni mbunge viti maalum,hana jimbo,tubu dhambi kwa Yesu na usirudie tena chuki binafsi!
 
Pepo la CCM , Pepo la mama Rwakatare , huyu mama aliingia kwa rushwa , Muulize Dada Matha.
Mama wa madawa ya Kulevya muasisis wa zinaa
 
Angekutuambia ni MUNGU YUPI anamtumkia kwani matendo yake hayaendani na anayosema hata kidogo, mfano ni MPORAJI mzuri wa viwanja vya maskini! Ni Mlaghai!
 
wakuu hivi huyu mama kwanin hapingi maovu wakati ni kiongozi wa dini pia? na kwa kipindi chote cha ubunge wake kama mwakilishi wa wananchi atakumbukwa kwa yapi hasa(in positive impacts)?
 
Kwa mungu hayupo wala kwenye siasa hayupo huyu mama nitapeli kama matapeli wengine
 
Mhe.Mama Rwakatare anapima upepo wa kisiasa Moro kulingana na alivyowekeza mali/pesa kugombea ubunge;pia ajue adui zake!
 
Huyu mbona kajichafua mwenyewe miaka mingi tu!!! Asimtafute mchawi wake, mchawi ni yeye mwenyewe kwa kuendekeza ufisadi huku akijifanya ni mcha Mungu.
 
Ushauri kwa mama Rwakatare, atimize ndoto yake ya kugombea urais Tanzania;kwa kuunda sasa kamati yake ya ufundi kitaifa!
 
Hawa wachungaji wa mshahara ni shidaaa kwani kuchunga kondoo si kazi yao wao ni ufahari kwa kwenda mbele . Nilitegemea angesema pengine uhusiano wake na Muumba wake hauko sawa lkn mmmmhhhhhhh
 
Reactions: BAK
Yamekaa vema haya maswali, na ayajibu sasa! Vinginevyo hata akiwa madhabauni sisi hatutamsikiliza zaidi ya kuwaza maswali haya.
 
wakuu hivi huyu mama kwanin hapingi maovu wakati ni kiongozi wa dini pia? na kwa kipindi chote cha ubunge wake kama mwakilishi wa wananchi atakumbukwa kwa yapi hasa(in positive impacts)?

KTK Ukirsto Hakuna m
Mchungaji mwanamke. na hata angekuwa Mwanamme tayari alisha poteza sofa za kumutumikia BWANA kwani Biblia inasema usitumikie MABWANA wawili na vyakaisari mpe kaisari na VYAMUMGU mpe MUNGU
 

Mkuu hawa wanetu km ni under 18, usiwajibu hivo, nnahofu utawaua
 
Huyu mama anaweza kujibu maswali ya watanzania kweli?
Sakata la escrow ulikaa kimya huku ukijua dhambi mnayofanya.
Bunge la katiba ukaridhia dhuluma kwa wananchi.
Dhuluma kwa mjane
 
Ameganya nini
Bungengeni hasemi wala kikemea maovu. Lambda wanaujua watujuze mchango wake kisiasA
 
Huyu mama yuko busy kutafuta mali za dunia hii,hamtumikii Mungu yoyote labda miungu
 
Kwa mimi ningemshauri arudi madhabahuni amlilie Mungu wake amsahemehe kwa kutowatetea watanzania kama bunge ndani ya Bunge. Na kwa kufumbia maovu.
mchungaji gani asiye kemea hata ovu moja linalo fanywa na serikali badala yake anaunga mkono.Ni aina ya wachungaji wachumia tumbo
 
Utumishi wa Mungu ni kujikana nafsi.Watumishi wengi wa Mungu aghalabu walikubaliana na watawala.Tawala nyingi zilizo kuwa onevu kwa watu wao zilipingana vikali na watumishi wa Mungu.Sasa huyu ni aina gani ya mchungaji hata wizi wa Escro ambaohata kipofu ameuona yeye anautetea.Atubu au la ajue mbingu hawezi kuziona kwa aina ya uchungaji wake huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…