Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Kwani ni mbunge wa kuchaguliwa huyu? jimbo gani tafadhaliHana jipya huyo, anajua kina mama wa morogoro hawatamchagua tena. Aliwaahidi kila mjumbe atampa gari na kumjengea nyumba akipata ubunge. Baada ya kupata ubunge hajarudi jimboni mpk saiv tunavyoongea. Halaf eti ni mtumishi wa mungu. Mtumishi wa mungu my foot!!
Muongo ameona jimbo alilo taka kugombea la Kilombelo Cdm wame beba vitongoji kama njugu.anasingizia Mungu kwani kabla Mungu hakuwepo?Mama mroho sana anataka vyote yeye mwenyewe
good riddance. anajaza tu bunge.Mama Rwakatare (Mchungaji Rwakatare) alisema amebaini kwenye siasa kuna watu wanataka kutumia nafasi hiyo kumchafua jambo ambalo linampa wakati mgumu ikizingatiwa kuwa ana watu wanaomwamini kiroho.
"Sifikirii kwa sasa kugombea ubunge mwakani, siasa ina mambo mengi sana, bora niendelee kumtumikia Mungu, kama wazo litanijia tena ni hapo baadaye," amesema Mama Rwakatare
Una lipi la kumwambia Mchungaji huyu?
source
[h=5]East Africa Television (EATV)[/h]
Mama Rwakatare (Mchungaji Rwakatare) alisema amebaini kwenye siasa kuna watu wanataka kutumia nafasi hiyo kumchafua jambo ambalo linampa wakati mgumu ikizingatiwa kuwa ana watu wanaomwamini kiroho.
Sifikirii kwa sasa kugombea ubunge mwakani, siasa ina mambo mengi sana, bora niendelee kumtumikia Mungu, kama wazo litanijia tena ni hapo baadaye, amesema Mama Rwakatare
Una lipi la kumwambia Mchungaji huyu?
source
[h=5]East Africa Television (EATV)[/h]
I could tell. .
Mnafiki huyu, utapeli wote anaoufanya kwani hajui kuwa kuna watu wanamjua fika?Mama Rwakatare (Mchungaji Rwakatare) alisema amebaini kwenye siasa kuna watu wanataka kutumia nafasi hiyo kumchafua jambo ambalo linampa wakati mgumu ikizingatiwa kuwa ana watu wanaomwamini kiroho.
Sifikirii kwa sasa kugombea ubunge mwakani, siasa ina mambo mengi sana, bora niendelee kumtumikia Mungu, kama wazo litanijia tena ni hapo baadaye, amesema Mama Rwakatare
Una lipi la kumwambia Mchungaji huyu?
source
East Africa Television (EATV)
huyu mama anatumikia siasa na uchungaji nasikia ana historia chafu za kudhulumu vijanja vya watu
Mama Rwakatare (Mchungaji Rwakatare) alisema amebaini kwenye siasa kuna watu wanataka kutumia nafasi hiyo kumchafua jambo ambalo linampa wakati mgumu ikizingatiwa kuwa ana watu wanaomwamini kiroho.
Sifikirii kwa sasa kugombea ubunge mwakani, siasa ina mambo mengi sana, bora niendelee kumtumikia Mungu, kama wazo litanijia tena ni hapo baadaye, amesema Mama Rwakatare
Una lipi la kumwambia Mchungaji huyu?
source
[h=5]East Africa Television (EATV)[/h]
Mama Rwakatare (Mchungaji Rwakatare) alisema amebaini kwenye siasa kuna watu wanataka kutumia nafasi hiyo kumchafua jambo ambalo linampa wakati mgumu ikizingatiwa kuwa ana watu wanaomwamini kiroho.
Sifikirii kwa sasa kugombea ubunge mwakani, siasa ina mambo mengi sana, bora niendelee kumtumikia Mungu, kama wazo litanijia tena ni hapo baadaye, amesema Mama Rwakatare
Una lipi la kumwambia Mchungaji huyu?
source
[h=5]East Africa Television (EATV)[/h]