Siangalii mwanamke mara mbili.

Google huu mstari WA biblia.....ikiwa nimeweka nadhiri, nawezaje kugeuka na kumtazama mwanamke?
 
kama huo ndio mtihani basi mimi nishasup,na kucarry na wala sihitaji kusapua
 
kumiliki watoto wazuri tushindwe,hata kuangalia pia tushindwe???? kha.?
 
hata mimi huwa naangalia mara moja ila nikilikodoa jicho ni mpaka anaenda kwenye umbali ambao simuoni.mara moja tu
 
congratulation ndugu good boy
 
Mkuu Tyta hapo juu, Mungu akubariki kwa huu utukufu ulioubandika.
 
Last edited by a moderator:
mi kitu obama huwa siielewi na sarkozy pia hatari kwenye mambo hizi
 
Point.....ukiangalia then ukaanza kutengeneza hisia mfadhaiko lazima nje ya hapo hakuna kitu hata akitembea uchi,kwanini tahira anayetembea uchi mfadhaiko usipatikane ukapatikani kwa aliyevaa?
 
Mie mwenyewe,penda totoz with big butts wakitembea vibration kama puto lililojazwa maji lol...
If i were a man!.....
 
Friendship,

courtship,

marriage,

family.
 
Point.....ukiangalia then ukaanza kutengeneza hisia mfadhaiko lazima nje ya hapo hakuna kitu hata akitembea uchi,kwanini tahira anayetembea uchi mfadhaiko usipatikane ukapatikani kwa aliyevaa?

Kabisa mkuu...!!!!!

Mwehu akiwa uchi hawamtaamani
Sijui kwanini ...!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…