vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,395
- 2,537
Hivi Ivory coast alifuzu akiwa na point ngapi kwenye AFCON? Kumbe mashabiki wa Simba ni vihande kiasi hiki. Kufuzu ni kufuzu haijalishi unafuzu na point ngapi. Kubwa zaidi kwa Yanga ni kujipanga wavuke hatua ya robo fainali ili wacheze nusu. Msimu wa 2018/2019 Simba walipata point 9 pekee.Yaani timu inafuzu kwa points 8 tu hii ni aibu haswa kwa timu inayojinasibu kuwa bora points 8 ni bora hata makundi uenyewe nisivuke maana inaonyesha wazi umeenda kwa kubahatisha