Njoo PM nikupe ushauri mubashara pamoja na tiba asilia ili kuondoa/kupunguza stress ulizo nazo.Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Mkuu sidhani kama wewe ni mwanaume mwenye nguvu zako.hahaha ss na nyie hamjishtukii...lift waombe wanafunzi na nyie mkimbilie
Aliyekupa wewe gari ndiye huyu aliyenipa nyumba. Hatupati vitu sawa kwa pamoja.Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Kukuomba lift tuu Leo ushanitangaza je ningekuomba papuchi?Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Inaonekana kritika ana msongo wa mawazo, kuna kitu mwanaume alimfanya huyu dada kimemuathiri ubongo wake mazima. Kitaalamu huyu dada anasumbuliwa na kitu inaitwa "Misandry"(chuki dhidi ya wanaume).Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Kwa kupitia hizi mada zake kuna tatizo kubwa.Hebu tuambie tumekukosea nini....hii si kawaida..toka umepiga maguu JF wewe upo na wanaume tuu..
1. Kwenu wanaume, matatizo mengine hayahitaji maombi
2. Ni aibu kwa mwanaume
3. Wanaume hawajui mapenzi
4. Wanaume wengi hawabebeki
5. Tabia za ajabu kwa wanaume
6. Baadhi ya wanaume ni wachafu sana, wanalala na kahaba anayetembea na wanaume wengi
7. Bora kujipenda mwenyewe
8. Jana nimechepuka ili kumkomoa mwanaume niliyenaye
9. Wanaume kuwa na aibu za kitoto
10. Wanaume mnalaana
11. Wanaume wa siku hizi wamekua waoga sana hadi wanatia aibu
Kuna tatizo kubwa sana
Inaonekana wanaume wanamtenda sana huyu dada, ndio maana ana hasira nao... Kila topic anawananga wanaumeHuyu ana kichaa cha dushe
tatizo linalokusumbua wewe mkolomije ni ushamba.Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??