Siamini macho yangu, CCM ndo inakufa

Siamini macho yangu, CCM ndo inakufa

Attachments

  • 1443248088935.jpg
    1443248088935.jpg
    63.5 KB · Views: 334
Ukiona chama kinawategemea wajinga wawili "Kigwangalla na Nchemba" kwenye kampeni ujue maji ya shingo. Wazee wenye akili zao kama kina msekwa wamekaa pembeni kwa kuwa wameshaona chama linajifia.
 
Ningeweza kupita tu bila kuchangia thread yako, lakini kwa kuwa una matatizo ya kiakili angalau tukusaidie tu! ccm kufa hakupo na hakutatokea mwambie aliyekupa hela ya kula leo kuwa tayari umepost ili uishi. HAPA KAZI TU.

Hata KANU walisema hivyo ukijiona umesimama jiangalie usije anguka
 
maSinziM... NDEMBE NDEMBE, NYANG'A NYANG'A, CHALIIIII.....

Jay Milionea linalewa lewa nanii aliekulogaa na masinziM....!!!??
 
Kwakeri CCM,sijawahi kukupenda kwangu ni furaha kuona anguko lako.
 
Wale wa buku 7 wanione hapa Simiyu niwape shamba waanze kufyeka pori coz zimebaki siku 30 tu ajira yao ikome
 
Ccm ilishakufa sikunyingi tu. Hii unayoiona siyo Ccm nigenge la wezi wamali ya Umma wavaao nguo zarangi zile zilizokuwa zinavaliwa nawana Ccm.

Hawa kilammoja anawaza afanyenini apige hela. Ndomaana utawatambua kwamambo kama Escrow, Eppa, Reachmond, Meremeta, Deep green, TWIGA kupandishwa ndege nk.

Kama kuna mtanzania bado anaimani nchi hii itapata maendeleo chini yautawala wa Ccm namuonea huruma sana tu. Anatakiwa akaombewe eidha kanisani au msikitini ili ubongo wake ufunguke ajitambue.

Juzi Ethiopia wamezindua treni yaumeme, Kenya nao wakombioni kuzindua achilia mbali Rwanda na Sudan. Sisitutaendelea tu kusikia mambo yamaendeleo kamahayo kwa wenzetu kamatutaendelea nahawa wapiga dili.

Tuendelee tu ila iposiku wajukuu zetu watafukua mafuvu yetu wafanye utafiti kamakweli tulikuwa binadamu au mbuzi.
 
Wanajukwaa,

Kwanza nianze kwa kuwapa pole wale ambao walishazoea kupata ulaji kupitia mgongo wa CCM, kwa hali ilivyo sasa najua mnaumiza sana vichwa kufikiria juu ya hili, na sidhani tena kama mtakuwa na msaada wowote.

Katika kipindi hiki kigumu ningewashauri muanze kutafuta kazi za kufanya mapema kabisa ilimradi mpate vijisenti vya kujikimu, Bomba la kupatia hela linaenda kufungwa.

Ccm kwa sasa inajaribu kukikimbia kifo lakini siamini kama kifo huwa kinakimbiwa, na hii inatokana na kulemaa wao wenyewe walijisahau wakadhani bado wapo kwenye mfumo wa chama kimoja.

Kwa sasa ni nani mwenye ujasiri wa kutamka neno "CCM" mbele ya mhadhara wa watu tofauti na jukwaani? na likitamkwa ujue si kwa mazuri bali uozo wake na halufu mbaya inayotoka.

Mwanzoni nilijua ni siasa za Tanzania za miaka yote, lakini nimekuja kugundua ni tofauti kabisa, nasikitika kuona chama tawala kuonyesha udhaifu namna hii,Nasubiri Wosia wa mwisho wa chama hiki wakati kinakabidhi majukumu kwa wapinzani KWAHERI CCM.

hatuchagui ccm tunachagua mchapakazi.
 
Chagula magufuli hapa kazi tuu ; Chagua Mwigulu muadilifu; Chagua Januari kembe letu;
Hawana chama hawa???
CCM imekufa kabisa sasa kuna watu wanaitwa badala ya CCM

Chagua Tanzania ya Magufuli! Wamekwisha chaliiiiii

***** watu mna mapenzi na chama!
 
Nyie chomoeni sharubu zenu utaona ccm itakacho kifanya october ndio mutabaki kusema tumeibiwa ccm mbele kwa mbele
 
Wale wa buku 7 wanione hapa Simiyu niwape shamba waanze kufyeka pori coz zimebaki siku 30 tu ajira yao ikome

Nahisi Ungeanza Wewe Kwanza Na Kama Shamba Lenyewe La Wiziwizi Jiandae, Lukuvi Is Still On The Move,wenzake Wanapiga Kampeni Yeye Anasafisha Wizara Ya Ardhi...
 
Back
Top Bottom