Siamini macho yangu, CCM ndo inakufa

Siamini macho yangu, CCM ndo inakufa

youngsharo

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,491
Reaction score
500
Wanajukwaa,

Kwanza nianze kwa kuwapa pole wale ambao walishazoea kupata ulaji kupitia mgongo wa CCM, kwa hali ilivyo sasa najua mnaumiza sana vichwa kufikiria juu ya hili, na sidhani tena kama mtakuwa na msaada wowote.

Katika kipindi hiki kigumu ningewashauri muanze kutafuta kazi za kufanya mapema kabisa ilimradi mpate vijisenti vya kujikimu, Bomba la kupatia hela linaenda kufungwa.

Ccm kwa sasa inajaribu kukikimbia kifo lakini siamini kama kifo huwa kinakimbiwa, na hii inatokana na kulemaa wao wenyewe walijisahau wakadhani bado wapo kwenye mfumo wa chama kimoja.

Kwa sasa ni nani mwenye ujasiri wa kutamka neno "CCM" mbele ya mhadhara wa watu tofauti na jukwaani? na likitamkwa ujue si kwa mazuri bali uozo wake na halufu mbaya inayotoka.

Mwanzoni nilijua ni siasa za Tanzania za miaka yote, lakini nimekuja kugundua ni tofauti kabisa, nasikitika kuona chama tawala kuonyesha udhaifu namna hii,Nasubiri Wosia wa mwisho wa chama hiki wakati kinakabidhi majukumu kwa wapinzani KWAHERI CCM.
 
...ishakufa tayari ndo maana hata wao hawasemi chagua ccm maana hakuna hicho kitu, kilichopo ni mkusanyiko wa kivuli chao, tunazika rasmi tarehe 25 October....
 
Kwani ccm ni kitu gani.me najua chagua magufuli
 
Chagula magufuli hapa kazi tuu ; Chagua Mwigulu muadilifu; Chagua Januari kembe letu;
Hawana chama hawa???
CCM imekufa kabisa sasa kuna watu wanaitwa badala ya CCM

Chagua Tanzania ya Magufuli! Wamekwisha chaliiiiii
 
Chagula magufuli hapa kazi tuu ; Chagua Mwigulu muadilifu; Chagua Januari jembe letu;
Hawana chama hawa???
CCM imekufa kabisa sasa kuna watu wanaitwa badala ya CCM

Chagua Tanzania ya Magufuli! Wamekwisha chaliiiiii
 
Wanajukwaa,

Kwanza nianze kwa kuwapa pole wale ambao walishazoea kupata ulaji kupitia mgongo wa CCM, kwa hali ilivyo sasa najua mnaumiza sana vichwa kufikiria juu ya hili, na sidhani tena kama mtakuwa na msaada wowote.
Katika kipindi hiki kigumu ningewashauri muanze kutafuta kazi za kufanya mapema kabisa ilimradi mpate vijisenti vya kujikimu, Bomba la kupatia hela linaenda kufungwa.

Ccm kwa sasa inajaribu kukikimbia kifo lakini siamini kama kifo huwa kinakimbiwa, na hii inatokana na kulemaa wao wenyewe walijisahau wakadhani bado wapo kwenye mfumo wa chama kimoja,
kwa sasa ni nani mwenye ujasiri wa kutamka neno "CCM" mbele ya mhadhara wa watu tofauti na jukwaani? na likitamkwa ujue si kwa mazuri bali uozo wake na halufu mbaya inayotoka.

Mwanzoni nilijua ni siasa za Tanzania za miaka yote, lakini nimekuja kugundua ni tofauti kabisa,
nasikitika kuona chama tawala kuonyesha udhaifu namna hii,
Nasubiri Wosia wa mwisho wa chama hiki wakati kinakabidhi majukumu kwa wapinzani KWAHERI CCM.
Wewe na ukoo wenu ndo mmekufa, ccm ipo na itakuwepo
 
Chagula magufuli hapa kazi tuu ; Chagua Mwigulu muadilifu; Chagua Januari jembe letu;
Hawana chama hawa???
CCM imekufa kabisa sasa kuna watu wanaitwa badala ya CCM

Chagua Tanzania ya Magufuli! Wamekwisha chaliiiiii
Wewe na shangazi yako ndo mmekufa
 
Wanajukwaa,

Kwanza nianze kwa kuwapa pole wale ambao walishazoea kupata ulaji kupitia mgongo wa CCM, kwa hali ilivyo sasa najua mnaumiza sana vichwa kufikiria juu ya hili, na sidhani tena kama mtakuwa na msaada wowote.
Katika kipindi hiki kigumu ningewashauri muanze kutafuta kazi za kufanya mapema kabisa ilimradi mpate vijisenti vya kujikimu, Bomba la kupatia hela linaenda kufungwa.

Ccm kwa sasa inajaribu kukikimbia kifo lakini siamini kama kifo huwa kinakimbiwa, na hii inatokana na kulemaa wao wenyewe walijisahau wakadhani bado wapo kwenye mfumo wa chama kimoja,
kwa sasa ni nani mwenye ujasiri wa kutamka neno "CCM" mbele ya mhadhara wa watu tofauti na jukwaani? na likitamkwa ujue si kwa mazuri bali uozo wake na halufu mbaya inayotoka.

Mwanzoni nilijua ni siasa za Tanzania za miaka yote, lakini nimekuja kugundua ni tofauti kabisa,
nasikitika kuona chama tawala kuonyesha udhaifu namna hii,
Nasubiri Wosia wa mwisho wa chama hiki wakati kinakabidhi majukumu kwa wapinzani KWAHERI CCM.

Ningeweza kupita tu bila kuchangia thread yako, lakini kwa kuwa una matatizo ya kiakili angalau tukusaidie tu! ccm kufa hakupo na hakutatokea mwambie aliyekupa hela ya kula leo kuwa tayari umepost ili uishi. HAPA KAZI TU.
 
Wanajukwaa,

Kwanza nianze kwa kuwapa pole wale ambao walishazoea kupata ulaji kupitia mgongo wa CCM, kwa hali ilivyo sasa najua mnaumiza sana vichwa kufikiria juu ya hili, na sidhani tena kama mtakuwa na msaada wowote.
Katika kipindi hiki kigumu ningewashauri muanze kutafuta kazi za kufanya mapema kabisa ilimradi mpate vijisenti vya kujikimu, Bomba la kupatia hela linaenda kufungwa.

Ccm kwa sasa inajaribu kukikimbia kifo lakini siamini kama kifo huwa kinakimbiwa, na hii inatokana na kulemaa wao wenyewe walijisahau wakadhani bado wapo kwenye mfumo wa chama kimoja,
kwa sasa ni nani mwenye ujasiri wa kutamka neno "CCM" mbele ya mhadhara wa watu tofauti na jukwaani? na likitamkwa ujue si kwa mazuri bali uozo wake na halufu mbaya inayotoka.

Mwanzoni nilijua ni siasa za Tanzania za miaka yote, lakini nimekuja kugundua ni tofauti kabisa,
nasikitika kuona chama tawala kuonyesha udhaifu namna hii,
Nasubiri Wosia wa mwisho wa chama hiki wakati kinakabidhi majukumu kwa wapinzani KWAHERI CCM.

wewe sikia kada wa chadema anavyosema.... wewe ni nani
 

Attachments

  • 1443247744489.jpg
    1443247744489.jpg
    19.9 KB · Views: 425
na ife tu ccm ata r.i.p haistaili kwani imetunyonya sana watz miaka yote hiyo so ni direct kuzimu
VIVA UKAWA!!!
 
Kwani ccm ni kitu gani.me najua chagua magufuli

Wewe na ukoo wenu ndo mmekufa, ccm ipo na itakuwepo

Wewe na shangazi yako ndo mmekufa

Umejiunga juzi tu uko lindo kupiga posho za Ukawa, kwenda huko

Ningeweza kupita tu bila kuchangia thread yako, lakini kwa kuwa una matatizo ya kiakili angalau tukusaidie tu! ccm kufa hakupo na hakutatokea mwambie aliyekupa hela ya kula leo kuwa tayari umepost ili uishi. HAPA KAZI TU.

Juzi nilikua kwenye basi huko kijijini, nikiwa nimechoka kwa mizunguko mara abiria wakaanza mada...kila mtu ni lowassa mara UKAWA mara mabadiliko...mara tumechoshwa na ccm!! Nikabadi natabasam kimoyomoyo!!

Ifike sehemu tuache ushabiki, nini nini ccm wamefanya kwa miaka zaidi ya 50??? Rwanda kenya ethiopia zooote zimetuacha mbali sisi tupo tuu!!?? Shilingi inashuka thaman...uchumi hali mbaya...elimu kila siku ziro zinaongezeka!!

Kwa uhalisia CCM ina hali mbaya kwa sasa na hii ni kutokana na kujisahau kwao!! Na mimi nasema UKAWA ndio chaguo la wengi!!! Bye bye ccm!!
 
Ningeweza kupita tu bila kuchangia thread yako, lakini kwa kuwa una matatizo ya kiakili angalau tukusaidie tu! ccm kufa hakupo na hakutatokea mwambie aliyekupa hela ya kula leo kuwa tayari umepost ili uishi. HAPA KAZI TU.

teh teh ccm isife kwakua yenyewe ni nani? imefanya mazuri mangapi kwa watz adi iendelee kuwepo? subiri October 25 wewe..
VIVA UKAWA!!!
 
Back
Top Bottom