Ndugu zangu, utendaji wa mashirika au taasisi za serikali tunazifahamu, mimi mpaka leo siamini kabisa kama report ya CAG ni sahihi, ninaamini imechakachuliwa mpaka mwisho,
Huyu Utoah ndiye aliemsafisha kiongozi fulani kuwa hahusiki na skendo fulani bungeni! Mnakumbuka issue ya Jairo?
Ili sisi watanzania tujiridhishe na report ya CAG tunaomba halmashauri moja tuu wapewe PWC au Erinest& Young au kampuni yeyote ya kimataifa inayofanya Audit ndipo utakapojua uozo uliojaa kwenye halmashauri zetu
Huyu Utoah ndiye aliemsafisha kiongozi fulani kuwa hahusiki na skendo fulani bungeni! Mnakumbuka issue ya Jairo?
Ili sisi watanzania tujiridhishe na report ya CAG tunaomba halmashauri moja tuu wapewe PWC au Erinest& Young au kampuni yeyote ya kimataifa inayofanya Audit ndipo utakapojua uozo uliojaa kwenye halmashauri zetu