Mjusi Sharobalo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2025
- 7,442
- 12,721
Nimestaafu nakula mafao!je ulishawahi kuwa mwanachama?
Nimestaafu nakula mafao!je ulishawahi kuwa mwanachama?
Ulevi uliopindukiaKuna muda mpwa mwandiko wako ni msomi ila kuna muda mpwa sijui unaandikiwa na katoto ketu ka la kwanza
Nimekaa paleeee 👉👉👉👉👉!Nimeokoka...
tutakuweka baraza la wazee CHAPUTA uwe mshauri kwa vijanaNimestaafu nakula mafao!
Haina noma, nimepokea hicho cheo kwa heshima zote.tutakuweka baraza la wazee CHAPUTA uwe mshauri kwa vijana