Hebu kaache kwanza kauwashe moto, ili kakiungua kaujue vizuri. Nadhani kama sahau kuwa kikosi cha ulizi (halisi) wa babu kimejaa wajukuu wanaojua kazi zaidi ya Majembe Auction Mart (Wazee wa kazi)! Laiti kangembuka kuwa inapofikia wakati wa majuto huwezi tena kurudisha saa nyuma!
Hebu kaache kwanza kauwashe moto, ili kakiungua kaujue vizuri. Nadhani kama sahau kuwa kikosi cha ulizi (halisi) wa babu kimejaa wajukuu wanaojua kazi zaidi ya Majembe Auction Mart (Wazee wa kazi)! Laiti kangembuka kuwa inapofikia wakati wa majuto huwezi tena kurudisha saa nyuma!
Hahahahaaa babu Asprin bana, hivi kwanza mzee mwenzio babu Dark City yuko wapi?
Mie nlishashindikanika tangu home, mata** yameota sugu kwa kucharazwa bakora. Naionea huruma bakora yako maana najua itajeruhiwa na ma**ko ya Kasie....