Si kila teuzi ni za kukubali, nyingine ni za 'kimkakati' ili kukumaliza kisiasa au kwa kuwa tishio kwa mwenye tamaa ya Urais

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Na Siku zote Mwanasiasa makini na mjanja hupenda sana kuwateua watu anaowaona ama ni Tishio Kwake au wanaitaka Nafasi yake kwa Udi na Uvumba ili awamalize vizuri Kisiasa kwa kuwapigisha 'Shoti' katika Nafasi zao ili awatumbue, awachafue na waonekane hawafai kuwa Viongozi na ikibidi hata Wapuuzwe na Wadharaulike na Wananchi.

Kama kuna Wizara ambayo ukisikia umeteuliwa usiikubali Kwanza bali tuliza Akili yako Kuikubali na kama ukiwa na Akili sawa sawa na unajitambua ikatae ni ya Taa na Mwendo wa Nyenzo Tanzania kwani ni Wizara Maalum ya Mtego na Kummaliza Adui Tishio wa Kutamani kuishi Magogoni na Chamwino.
 
Nimekuelewa!
Ningeshangaa Brainy kama Wewe usingenielewa Ndugu. Kuna Watu ( Wanasiasa ) nilikuwa nawaona wana Akili Kubwa ila baada tu ya Kutegwa na Kuingia Mtegoni wamekubali Uteuzi na sasa wanamalizwa tu 'Kimkakati' na taratibu kabisa bila ya wao Kushtuka au Kujua.

Nilijua wanaovaa Miwani huwa na Akili kumbe wengine huwa ni Senior Mazuzu kabisa japo huko Mitandaoni hujifanya wanajua Kujenga Hoja na ni Wabobezi wa Hotuba na Mawasiliano.
 
Ramli chonganishi hii 😂😂😂
Na Siku zote Mwanasiasa makini na mjanja hupenda sana Kuwateua Watu anaowaona ama ni Tishio Kwake au wanaitaka Nafasi yake kwa Udi na Uvumba ili awamalize vizuri Kisiasa kwa kuwapigisha 'Shoti' katika Nafasi zao ili awatumbue, awachafue na waonekane hawafai kuwa Viongozi na ikibidi hata Wapuuzwe na Wadharaulike na Wananchi.

Kama kuna Wizara ambayo ukisikia umeteuliwa usiikubali Kwanza bali tuliza Akili yako Kuikubali na kama ukiwa na Akili sawa sawa na unajitambua ikatae ni ya Taa na Mwendo wa Nyenzo Tanzania kwani ni Wizara Maalum ya Mtego na Kummaliza Adui Tishio wa Kutamani kuishi Magogoni na Chamwino.
 
Wauguuuzi ,wauuuguzi daktari na manesi wauuuguzii, ikaja kunani paleee na ni mpakani na kilimanjaro🤗🤗
Umeme na Maji Tanzania imeshakuwa Kero Watu Kerooooooohh.....Kerooooooohh......!! Kudadadeki.

Kwisha Kazi sasa na subiri tu Kuumbuka na Kufifishwa Kisiasa na hiyo Miwani yako na Kipara chako kama Uwanja wa Ndege wa Songwe.
 
Na Siku zote Mwanasiasa makini na mjanja hupenda sana Kuwateua Watu anaowaona ama ni Tishio Kwake au wanaitaka Nafasi yake kwa Udi na Uvumba ili awamalize vizuri Kisiasa kwa kuwapigisha 'Shoti' katika Nafasi zao ili awatumbue, awachafue na waonekane hawafai kuwa Viongozi na ikibidi hata Wapuuzwe na Wadharaulike na Wananchi.

Kama kuna Wizara ambayo ukisikia umeteuliwa usiikubali Kwanza bali tuliza Akili yako Kuikubali na kama ukiwa na Akili sawa sawa na unajitambua ikatae ni ya Taa na Mwendo wa Nyenzo Tanzania kwani ni Wizara Maalum ya Mtego na Kummaliza Adui Tishio wa Kutamani kuishi Magogoni na Chamwino.
Kumbe iko hivyoo, basi muda utasungumsa!
 
Na Siku zote Mwanasiasa makini na mjanja hupenda sana Kuwateua Watu anaowaona ama ni Tishio Kwake au wanaitaka Nafasi yake kwa Udi na Uvumba ili awamalize vizuri Kisiasa kwa kuwapigisha 'Shoti' katika Nafasi zao ili awatumbue, awachafue na waonekane hawafai kuwa Viongozi na ikibidi hata Wapuuzwe na Wadharaulike na Wananchi.

Kama kuna Wizara ambayo ukisikia umeteuliwa usiikubali Kwanza bali tuliza Akili yako Kuikubali na kama ukiwa na Akili sawa sawa na unajitambua ikatae ni ya Taa na Mwendo wa Nyenzo Tanzania kwani ni Wizara Maalum ya Mtego na Kummaliza Adui Tishio wa Kutamani kuishi Magogoni na Chamwino.
Msugua benchi na awe na njaa na matarajio mengi ataupiga mwingi kwa ajili ya timu au kwa ajili yake? Pia kuna kutumwa kuhujumu usisahau mpango wa messenger ukifeli ujue na mwenye ujumbe kafeli. It goes either way inclussivity= top-down/the hustler way (bottom-up)
 
Usije ukamwamini mtu mwenye upara na anayekunja mikono ya shati, yaani kupewa wizara hata mwezi haujaisha tayari mgao wa umeme ukaanza.
 
Back
Top Bottom