King's daughter
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 690
- 198
Munajifariji tu. mwanamke ni kijundudu ambacho kipo kipo tu kwenye jamii wala hakijui kinatoka wapi?? kinakwenda wapi???
Including you! hujui unatoka wap? ulipo unapoenda na utakapoishia.Kwani wewe ulizaliwa na ng'ombe?? basi katafute kundi lako.Na kama ulizaliwa na mwanamke nawe pia ni mdudu wa ajabu mwenye kipaji cha kunena.MTOTO WA MDUDU NI MDUDU MWENYEWE!!!
aiseee! nimeishia kucheka tu,!!! jf kweli ni zaidi ya social network mmmh. makavu live
Hongera kwakucheka,ila ndio ulichokoza wa kwanza.
tabiya ya yoyote sawa isikupokuwa mwanaume. kwa nini sasa Munahitaji vitu vizuri huku mnasema mwanamke anaweza wanawake wakileo ni janga la kitaifa nyie ndio munaosabibisha kubandili tamaduni kwa kingezo cha women liberation
mwanamke ni chanzo cha mwanaume kuwa mzembe
1, mnakaa uchi na matiti yenu yako nje nje! mwanaume atasimamisha kwenye suruali hadi bamia inaumia
2, upatikanaji wa papuchi ovyo ovyo hata kwa tsh500, unapata ndio sababu
Kilaka lakini hali imezidi kuwa mbaya sana kipindi hiki
Tafuta mke ambaye hana ndugu
Bila Shaka Huyu Ni Mwanaume Anayeogopa Majukumu Yake.
Kwa kweli wadau sio kila mwanamke anaevaa sketi basi anapaswa kuolewa .
Wanawake wa kipindi hiki wamekua wabinafsi wanaojijali wenyewe na familia zao tuh yaan mama , baba yake au wadogo zake tuh . Na kutowajali ndugu wa upande wa mume wake . Hivyo kupata mke mwema ktk dunia ya sasa ni vigumu sana na kama mwanaume hautomtosheleza kimahitaji huyo mkeo basi ujue utaibiwa tuh maana atatafuta mbinu mbadala ili atimize hitaji lake .
Naomba kuwakilisha wana JF.
Wadada wazuri tena wenye heshima wapo wengi tuu sema mnakua na papara tu na kupenda msipopendwa na pia mkipata anaekupenda huwa hampendeki mnajiona Keki.Kwa kweli wadau sio kila mwanamke anaevaa sketi basi anapaswa kuolewa .
Wanawake wa kipindi hiki wamekua wabinafsi wanaojijali wenyewe na familia zao tuh yaan mama , baba yake au wadogo zake tuh . Na kutowajali ndugu wa upande wa mume wake . Hivyo kupata mke mwema ktk dunia ya sasa ni vigumu sana na kama mwanaume hautomtosheleza kimahitaji huyo mkeo basi ujue utaibiwa tuh maana atatafuta mbinu mbadala ili atimize hitaji lake .
Naomba kuwakilisha wana JF.
Tabia za wanawake zamani na wa sasa hakuna tofauti sema hawa sasa utandawazi umewahari
bu uvumilivu ni sifuri.
Wanaume wa zamani na hawa wa sasa hawana tofauti sema sasa papuchi zimewatia uchizi Uaminifu ni sifuri!!!