Its only wen you see a mosquito landing on yo testicles that you realize that there is always a way to solve problems without using violence.
Naomba nieleweshwe zaidi hii Kitu huwa naisoma sana,hebu nidadavulieni Wakuu
Kwa kiswahili ni hivi,"Ni mpaka mbu atue mwenye pumbu zako ndipo utakapogundua kuwa sio kila tatizo linahitaji nguvu au ugomvi kulitatua"
Kwa maana nyingine ni kwamba itabidi umtoe mbu mahala hapo taratiibu na si kumtandika Kofi zito ili kuepusha kutojiumiza pumbu zako.