Si Jangwani tena, ni CHADEMA square!

Kamanda wetu Mbowe katangaza kuanzia leo uwanja wa jangwani palipofanyika mkutano leo pataitwa Chadema square.



Sehemu ya umati uliohudhuria

what a stupid statement!! why not Revolution square?? au wote walioenda kwenye mkutano wa jangwani walikuwa ni chadema!!! tangulizeni taifa kwanza ......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…