Si Hirizi Si Mizizi Moyo umeridhi.................a

Si Hirizi Si Mizizi Moyo umeridhi.................a

Jini mahaba

Senior Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
151
Reaction score
39
Nimeamua kuandika hivi baada ya kushindwa kuisaliti ndoa yangu Sijui mke wangu kanipa nini hata nikiwa peke yangu mbali nikitaka kumsaliti nashindwa kabisa kila picha yake ikiniijia kichwani naona nachotaka kukifanya ni dhambi awali nilidhani ni Limbwata wakati wa likizo niliporudi kijijini nikamtafuta mtalamu anipe dawa ya kutapika limbwata lakin wapi. Nilichogundua hapa si hirizi si mzizi ila moyo umeridhia Nashawishika kusema U the Most AMAZING women second to ma mumy Nataka dunia nzima ijue nakupenda mama yoyo wangu na nimeamua kushow love na kuwashauri wana jf hasa wana MMU Kwa wanaume wapendeni na kuwaheshimu wake zenu michepuko sio dili na namna ya kutomchoka mkeo ni kugegedana kwa ratiba lakini pia usipende kuutazama uchi wa Mkeo kisaikolojia hukiniasha na kusababisha kuchokana

Long live my wife..........................................!!!
 
Hongera sana, ila username yako inatisha bana inashindwa kushabiana na ushauri wako.
 
.....majini nayo yanaoa...???
 
mh!hilo jina lako hapana kwa kweli.
 
Safi sana. Na uendelee hivyo hivyo. Natumaini na yeye pia ni mwaminifu kwako.

Kama hao ndo wanajiua kwa ajili ya mapenzi pindi wanaposalitiwa,au akiambiwa mke wako anatafunwa hawezi kukubali
 
Kama hao ndo wanajiua kwa ajili ya mapenzi pindi wanaposalitiwa,au akiambiwa mke wako anatafunwa hawezi kukubali

Ushaambiwa siku hizi kuchapiwa ni siri ya ndani. Kwa hiyo akija kujua mkewe anamegwa na njemba za kitaa ni kuuchuna tu. Maana ukisema ulianzishe timbwili waweza kuumbuka zaidi. Mwanamme gani ataona poa washikaji zake kujua mke wake anamegwa na njemba za kitaa?
 
Hongera sana, ila username yako inatisha bana inashindwa kushabiana na ushauri wako.

Ha ha ha ha ha ha Jini mahaba ni just user name tuuu but u know why tuwe huru la msingi hisia zangu zimefika
 
Ushaambiwa siku hizi kuchapiwa ni siri ya ndani. Kwa hiyo akija kujua mkewe anamegwa na njemba za kitaa ni kuuchuna tu. Maana ukisema ulianzishe timbwili waweza kuumbuka zaidi. Mwanamme gani ataona poa washikaji zake kujua mke wake anamegwa na njemba za kitaa?



upo hivyo kutokana na unayoyafikiria mimi sifikiri hivyo mimi ni nafsi huru sijasema mke wangu hanicheat ila mimi nashindwa kumcheat huenda yeye anaweza mimi kutomcheat mke wangu ndio fraha yangu huenda yeye frahaa yake ni kunicheat mimi I DONT CARE as long am happy kutomcheat yeye upo hapo

CHUNGU SAANA LAKINI DAWA NZURI
 
Wenyewe wanasema "sijamroga sijamchawia muulizeni kilichomvutia" Hapana chezea mahaba.
Ila ngoja mabazazi waje wakusute.
 
Nimeamua kuandika hivi baada ya kushindwa kuisaliti ndoa yangu Sijui mke wangu kanipa nini hata nikiwa peke yangu mbali nikitaka kumsaliti nashindwa kabisa kila picha yake ikiniijia kichwani naona nachotaka kukifanya ni dhambi awali nilidhani ni Limbwata wakati wa likizo niliporudi kijijini nikamtafuta mtalamu anipe dawa ya kutapika limbwata lakin wapi. Nilichogundua hapa si hirizi si mzizi ila moyo umeridhia Nashawishika kusema U the Most AMAZING women second to ma mumy Nataka dunia nzima ijue nakupenda mama yoyo wangu na nimeamua kushow love na kuwashauri wana jf hasa wana MMU Kwa wanaume wapendeni na kuwaheshimu wake zenu michepuko sio dili na namna ya kutomchoka mkeo ni kugegedana kwa ratiba lakini pia usipende kuutazama uchi wa Mkeo kisaikolojia hukiniasha na kusababisha kuchokana

Long live my wife..........................................!!!
Kote nimekusoma chaliu angu ila hapo kwenye red ndo sijakubali!
Mi huwa nina matumizi napo zaidi ya kuingia na kutoka,napadeki na ikiwemo kutamani kupiga napo picha na kuiweka picha hiyo mezani pa office pia....mbona pako beautifull sana tuuuuuuu!
 
Wenyewe wanasema "sijamroga sijamchawia muulizeni kilichomvutia" Hapana chezea mahaba.
Ila ngoja mabazazi waje wakusute.

hahahahhaa HIII KALI AISEE mbavu zangu zinacheza mguu pande bonge la gwaride
 
kote nimekusoma chaliu angu ila hapo kwenye red ndo sijakubali!
Mi huwa nina matumizi napo zaidi ya kuingia na kutoka,napadeki na ikiwemo kutamani kupiga napo picha na kuiweka picha hiyo mezani pa office pia....mbona pako beautifull sana tuuuuuuu!

kuamini ni tendo la hiyari kaka!!! Sio lazima
 
Umependa weye

Kweli mama watoto wako amebarikiwa

Endelea kuomba Mungu na yeye awe na upendo wa dhati sio mambo ya kuchepuka
 
Back
Top Bottom