laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,757
shy rose tabia zake ni za utata kama Halima mdee na ester bulaya
Hata Bashite au kwa jina la kufoji MakondaKama Lowasa
Tatizo wana ccm mnaamuliwa nakujenga hoja za kushawishi ili mnvunge kama mlichangia kitu
Kwani hajaolewa???
Shida sio kutochaguliwa, tatizo amekatwa isivyo halali~~>>>Wakati anashinda nafasi ya Ubunge wapo waliokosa hiyo nafasi, sasa hivi ameshindwa wapo watakaopata.......
Aache kulia lia... Hiyo haikuundwa kwa ajili yake peke yake... Akae chini atulie
Kila ukiamka ni Bashite, au amekula 0716 yako niniHata Bashite au kwa jina la kufoji Makonda
Amina Chifupa alifanya nini? hakufanya lolote zaidi ya kuwa na wazo, yeye na ndoto ya Godbless Lema hazina tofauti, kapata kura za huruma kwa kuwa aliugua na kufariki. na pengine hakuuawa na wauza madawa kama tunavyotaka ifahamike, kwa kuwa si muda mrefu mume wake mpakanjia naye alikufa baada ya kuugua, ndio maana watu kama wakina Rostam Aziz walikua wanasema kuwa alikua muathirika na hivyo kufariki kwa ukimwi. Mungu amlaze mahali pema peponi yeye na mumewake mpaka njia.Shida sio kutochaguliwa, tatizo amekatwa isivyo halali
Yule ni kijana...unataka aishi kama wazee....kisa uwaziri???Mbona Mh.MAVUNDE daily yupo club usipomkuta Club7,nenda Maisha club au laaziz CLUB lazima tuu utamkuta mbona yeye humsemi??
0716 hata yeye Nasikia Hana malinda Huko so nadhani uwezo wa kugusa yangu Hana.Kila ukiamka ni Bashite, au amekula 0716 yako nini
Ndiyo bye bye shyrose!