Feza hazina elements za kigaidi, wala hazitoi mafunzo hayo, serikali kupitia waziri Mahiga ilisema wazi wazi, hakuna ushahidi hizo shule zina elements za kigaidi kama huyo Rais wa Uturuki anavyotaka kuaminisha watu... ukiacha shule hizo, je na hospital mbalimbali za Gullen nazo zinafanya ugaidi..? ni uongo mtupu, bahati nzuri serikali yetu ilishaweka msimamo wake madhubuti kuwa haziwezi zifunga...
Ww unaangalia Uturuki tu, kwa taarifa yako Gullen yuko U.S, na ni rafiki wa U.S, so hata assets zake ktk nchi kadhaa duniani, U.S itamsaidia, so U.S hawawezi acha rafiki yao ananyanyaswa kihuni na mwenzake... hilo kaa nalo vema, U.S is the most powerful, Uturuki kitu gani bana.. Huyu Rais wao anakosea sana..