Shule za Feza kufutwa?

Unahis FEZA wanaweza wasifungiwe???Zinafungiwa redio hapa bila hata kusikilizwa UTETEZI wao iwe FEZA?Kama marais wamekubaliana kwa maslah yao kwa mataifa yao FEZA SKULZ ndani ya dakika zinapotea,wanaweza kuwekewa zengwe au masharti yeyote tu magumu wakafungasha virago.
 
Nadhani tunapotea kwenye hoja ya msingi kujadili swala la shule ya watoto wa matajiri wachache nchini..

Hoja ya msingi hapa ni kwamba mbali na mkakati wa kutugeuza soko la bidhaa zake Mgeni wetu amekuja na ajenda yake ya kupambana na yule yamaa aliyetaka kumpindua.. Tofauti kubwa iliyojitokeza kwenye hotuba ya mkuu na ya mgeni wetu imedhihirisha hilo..

Sizonje alikuwa bize kuomba mikopo na msaada wa kujenga reli baada ya kuwavuruga wachina. Mshaurini mkuu aache kujifungia ndani akatafute wawekezaji jamani..

Ile logic yake kumwambia wazir_i Mba_rawa jenga hichi kisha ujenzi ukaanza siku hiyo bila kuzingatia taratibu za umma au kujali pesa zinatoka wapi anadhani zipo kila mahali.. Ndio maana hakuna hata senti iliyotajwa kama commitment leo..jamaa amesema atayaangalia hayo maombi ya reli na mkopo wa EXIM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…