Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,284
Tangu kuanzisha kwa vyama vingi tumeshuhudia mpaka sasa marais wawili,mkapa na kikwete,wagombea uraisi wengi na watia nia wengo vile vile,twambie shule uliosoma uko nyuma(sio chuo) mnajivunia nani kati ya hao niliowataja .
bila kujali ni wa upinzani au chama tawala. Mi najivunia tunaye magufuli katoke seminary japo alifukuzwa kwa utovu wa nidhamu akiwa form two.
bila kujali ni wa upinzani au chama tawala. Mi najivunia tunaye magufuli katoke seminary japo alifukuzwa kwa utovu wa nidhamu akiwa form two.