Shule ya Sekondari Inauzwa

Shule ya Sekondari Inauzwa

Wakuu natumaini mko salama.
Kuna shule inauzwa ipo maeneo ya Kongowe Dar es salaam na ina mambo yafuatayo:-
-Ina vyumba 12 vya madarasa
-Ina jengo la utawala na maofisi
-Ina bwalo kubwa
-Ina nyumba 2 za walimu
-Ina hosteli 2 za boys na girls
-Ina zahanati ya shule
-Ina kisima cha maji kirefu cha kisasa
-Ina umeme
-Ina wanafunzi na walimu na other staff
-Ipo katika eneo la ekari 40
-Inafikika vizuri kwa gari, ni umbali wa kiasi kutoka main road.

Kwa kifupi ina details nyingi lakini hatuzitoi zote in public kwa kuhofia wazazi kuhamisha wototo wao wakiliona tangazo live kwamba shule inauzwa.

Kwa ambae yupo Interested kabisa kabisa njoo inbox utapata details zote pamoja na kuitembelea uione.

Bei yake inaanzia Tsh bilioni 3 , lakini inazungumzika vizuri tuu na unaweza kulipa kwa awamu.
Karibuni sana wakuu.
Namba zangu za simu ni 0745596315
Unahofia wazazi kuhamisha watoto wao, na walimu je, hawatakuwa na hofu kibarua kuota nyasi, ama na wao wanauzwa bila kujua!
Shule za kanisa, zamani zilitaifishwa na serikali, sasa cjui ikoje kwa shule binafsi mpaka mmiliki anaamua kuuza maana yake kashindwa kuendeleza.
 
Mwambieni Bashite amwambie boss wake tamisemi wainunue ili na yeye aache kumbukumbu
 
Wakuu natumaini mko salama.
Kuna shule inauzwa ipo maeneo ya Kongowe Dar es salaam na ina mambo yafuatayo:-

-Ina wanafunzi na walimu na other staff
- Kwa kifupi ina details nyingi lakini hatuzitoi zote in public kwa kuhofia wazazi kuhamisha wototo wao wakiliona tangazo live kwamba shule inauzwa.

Hii ni biashara nzuri, ila ninawasiwasi kidogo kwenye vitu ulivyoonesha kuwa pia vinauzwa, na kwa sababu hiyo naona vikiondolewa kama mtu havitaki, basi dau linaweza pungua.

Inamaana kwenye hiyo bei utauza pia wanafunzi, waalimu na wafanyakazi wengine?
Je wao pia wamekubali kuuzwa?
 
Nataka niibadili iwe kambi ya vijana watokao vyuoni na kusaka ajira. Je, bei itabaki ile ile, nazungumzia, kuuziwa majengo tu bila raslimali watu?
 
Hii ni biashara nzuri, ila ninawasiwasi kidogo kwenye vitu ulivyoonesha kuwa pia vinauzwa, na kwa sababu hiyo naona vikiondolewa kama mtu havitaki, basi dau linaweza pungua.

Inamaana kweny hiyo bei utauza pia wanafunzi, waalimu na wafanyakazi wengine?
Je wao pia wamekubali kuuzwa?
Mkuu hiyo ni bei ya kuiuza shule kama taasisi nzima na mali zake. Kinachoweza kupungua hapo na bei ikapungua ni eneo la ekari zilizo katika umiliki ndani ya hii taasisi. Vingine haiwezekani.
Karibu saana mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom