Bakariforever
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 510
- 514
Hiyo Bilioni 3 ni pamoja na chaki humo humo?
N:B, uzuri unanunua pamoja na wanafunzi wake wote, wanakuwa hakuna kuhama
Hiyo Bilioni 3 ni pamoja na chaki humo humo?
Niitaje jina mkuu?Wakuu natumaini mko salama.
Kuna shule inauzwa ipo maeneo ya Kongowe Dar es salaam na ina mambo yafuatayo:-
-Ina vyumba 12 vya madarasa
-Ina jengo la utawala na maofisi
-Ina bwalo kubwa
-Ina nyumba 2 za walimu
-Ina hosteli 2 za boys na girls
-Ina zahanati ya shule
-Ina kisima cha maji kirefu cha kisasa
-Ina umeme
-Ina wanafunzi na walimu na other staff
-Ipo katika eneo la ekari 40
-Inafikika vizuri kwa gari, ni umbali wa kiasi kutoka main road.
Kwa kifupi ina details nyingi lakini hatuzitoi zote in public kwa kuhofia wazazi kuhamisha wototo wao wakiliona tangazo live kwamba shule inauzwa.
Kwa ambae yupo Interested kabisa kabisa njoo inbox utapata details zote pamoja na kuitembelea uione.
Bei yake inaanzia Tsh bilioni 3 , lakini inazungumzika vizuri tuu na unaweza kulipa kwa awamu.
Karibuni sana wakuu.
Namba zangu za simu ni 0745596315
Kwahiyo mnataka mtuuzie na wanafunzi wake mumo kwa mumo?Mkuu tukiweka picha tunahofia baadhi ya wazazi watahamisha vijana wao.
Kama upo interested njoo inbox au nicheki kwenye 0745596315
Niitaje jina mkuu?
Hahaa aache fujo kabisa mkuuAcha fujo
Mkuu tunauza taasisi hii ikiwa kamili, au unataka tuwatimue wanafunzi ununue shule yenye walimu pekee?Kwahiyo mnataka mtuuzie na wanafunzi wake mumo kwa mumo?
Comment yako imenifurahisha sana mkuuHahaaa mkuu unataka niseme..wasiojulikana si nitakua nimewarahisishia sana kazi!!
Kwani upo wapi mkuu
Mkuu siyo lazima kila wakati uongee siasaMwambieni Bashite amwambie boss wake tamisemi wainunue ili na yeye aache kumbukumbu
Mkuu kuna tangazo nimeliona mtu anatafuta shule anunueWakuu karibuni sana tufanye biashara hii
Mkuu niunganishe nilioneMkuu kuna tangazo nimeliona mtu anatafuta shule anunue
Ok.. Sorry Jamaa ameshapataMkuu niunganishe nilione
Poa poaa mkuuOk.. Sorry Jamaa ameshapata
Mkuu acha siasaNikikubali DPP si anaweza nisamehe hizo Bil.3 na shule mkanipa?
sku hz biashara za B B zishakua trending sana yani
Hivi inawezekana ee!!?Wewe ni nani hapo shuleni?
Wasiliana na serikali wainunue,
maana tumefanikiwa kukusanya zaidi ya bil 100 kutoka kwa mafisadi,
kwahiyo kwakuwa shule inauzwa bil 3 tu.
Mkuu kwa hiyo hela labda uje tukuuzie ardhi tuu kipande kidogo. Maana kuna ekari zaidi ya 30 hapo.Nisiogope kutaja dau langu
1bil naanza na 20mil niachwe niendeshe 1 yrs second payment 50mil inalipa 5yrs.
Mwanaume hutetemeki unapoomba kitu roho inataka bwana
Yap..tuchekiane inbox mkuu, hatujaamua kuziweka picha in public kwa sababu fulani.picha za shule inayouzwa
eneo ilipo
majengo hali yake
ndipo watu tuanze ku bargain
Taja jina tuoneNiitaje jina mkuu?