Shule ya Sekondari Inauzwa

Shule ya Sekondari Inauzwa

Dar Christian haina zahanati bado nafikiria hapa itakua ipi maana mtego upo kwenye hiyo zahanati na sidhani kama kweli ipo hiyo zahanati naona wameweka ili kulinda isifahamike kwa urahisi wameondoa kanisa wamesema zahanati
Hii itakuwa Dar Es salaam Christian Seminary.

Chimmy na nduguze

R.I.p Mzee Mugarura
 
Dar Christian haina zahanati bado nafikiria hapa itakua ipi maana mtego upo kwenye hiyo zahanati na sidhani kama kweli ipo hiyo zahanati naona wameweka ili kulinda isifahamike kwa urahisi wameondoa kanisa wamesema zahanati

Au itakuwa Kizumba ?
 
Dar Christian haina zahanati bado nafikiria hapa itakua ipi maana mtego upo kwenye hiyo zahanati na sidhani kama kweli ipo hiyo zahanati naona wameweka ili kulinda isifahamike kwa urahisi wameondoa kanisa wamesema zahanati
Wewe wasema mkuu
 
Biashara njema mkuu, japo watu wanajiuliza ya hapa na pale lakini ni kawaida sana jambo linapokuja hadharani.

Ila kwa nyakati tulizo nazo na mfumo tulio nao hii biashara imekua ngumu sana kwa upande wa secta binafsi.
Kama ingekua enzi zile wala tangazo usinge lileta hapa.

Lakini hebu jaribu kuongea faragha na wenye kufanya kazi hio labda taasisi za dini, benk na hata serikali, yote ya yote nakutakieni mafanikio.
 
Biashara njema mkuu, japo watu wanajiuliza ya hapa na pale lakini ni kawaida sana jambo linapokuja hadharani.

Ila kwa nyakati tulizo nazo na mfumo tulio nao hii biashara imekua ngumu sana kwa upande wa secta binafsi.
Kama ingekua enzi zile wala tangazo usinge lileta hapa.

Lakini hebu jaribu kuongea faragha na wenye kufanya kazi hio labda taasisi za dini, benk na hata serikali, yote ya yote nakutakieni mafanikio.
Asante sana mkuu
Umetoa ushauri mzuri saana.
 
Dar Christian haina zahanati bado nafikiria hapa itakua ipi maana mtego upo kwenye hiyo zahanati na sidhani kama kweli ipo hiyo zahanati naona wameweka ili kulinda isifahamike kwa urahisi wameondoa kanisa wamesema zahanati
Sio St Mathew!!
 
Ahsante Ila hiyo pesa sitaipata mpaka nakufa labda peponi nackia huko pesa njenje. Japo napeponi nahic sitaenda
Mkuu acha kujidharau, zoea kujitamkia kuwa unaweza kupata chochote maana kuna nguvu na siri kubwa katika maneno tuyanenayo katika mafanikio.
 
Wakuu karibuni sana, yeyote atakae leta mteja kuna percent zake zipo. Bei isikutishe kwa sababu inaweza kufika hadi 1B tukiziondoa zile ekari za eneo.
 
Hiyo ni kweli kabisa mkuu
Wenye shule wengi wanaziendesha bila weledi na utaasisi,yaani mmiliki anaendesha shule kwa maamuzi binafsi na pesa toka mfukoni bila bajeti wala utaratibu.Ikitokea akaaga dunia unakuwa ndo mwisho wa shule na wakati mwingine wanafunzi wakipungua tuu au akipungukiwa pesa kwa sababu labda kaingia kwenye siasa au starehe ama kupigwa na ndugu ama surbordinates wake unakuwa ndo mwisho wa shule.
 
Wenye shule wengi wanaziendesha bila weledi na utaasisi,yaani mmiliki anaendesha shule kwa maamuzi binafsi na pesa toka mfukoni bila bajeti wala utaratibu.Ikitokea akaaga dunia unakuwa ndo mwisho wa shule na wakati mwingine wanafunzi wakipungua tuu au akipungukiwa pesa kwa sababu labda kaingia kwenye siasa au starehe ama kupigwa na ndugu ama surbordinates wake unakuwa ndo mwisho wa shule.
Ndivyo tulivyo Waafrika na ndipo tunapofeli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom