Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,069
- 34,839
Hilo school bus kama la Sinza special la zamani
Asubuhi had kumi na nusu shule ya msingi mlikua mnasoma nini mkuu,sisi darasa la kwanza na la pili tulikua tunatoka saa 5 tu, la tatu na la nne tunaingia saa 4 tunatoka saa9, darasa la tano hadi la saba tunaingia saa 1 na nusu tunatoka saa 8 mchana.Nilikuwa napiga mguu aisee...tena zile shule za kubeba msosi wako..maana kutoka ni saa kumi na nusu jioni....iyo ilikuwa ni Butundwe geita huko...shule ya msingi Luhua