Kodi zetu mnapeleka wapi?hivi ni safari moja tuu ya nje ya nchi ya huyo vasco da gama ingejenga vyoo vingapi?ndiyo maana hata kina mama wazazi mnawaambia walete pamba za kujifunguliaWazazi wa Shule husika wanashindwa kujenga choo wakati kuna Kamati ya Shule ni suala kujituma kila kitu ni kulaumu CCM.Amkeni mjiletee maendeleo.
Kodi zetu mnapeleka wapi?hivi ni safari moja tuu ya nje ya nchi ya huyo vasco da gama ingejenga vyoo vingapi?ndiyo maana hata kina mama wazazi mnawaambia walete pamba za kujifungulia
Ukiona mtu mwenye akili timamu anaishabikia ccm, ujue kuna ka mrija ka ufisadi anapata toka serikalini