Shule Vs Mafanikio

Mungu akubariki uendelee kufundisha mambo ya msingi kama haya
 
So wote ni wazungu mkuu, mazingira yao na yetu ni tofauti kabisa. Tupe mifano ya wabongo ambao hawakwenda shule lakini ni mabilionea.
 
Naona mafanikio umeyaelezea kwa muktadha wa kuwa na utajiri tu/pesa/bilionea/milionea zaidi

Je hayo ndo mafanikio pekee maishani?

Vipi kuhusu afya na familia bora,elimu dunia ya mambo mbali mbali nk

Pesa ni muhimu ila si kila kitu
 
Na kiasi gani ndio utajiri?
Hadi uwe bakhresaa?ama Mo
Au ukiwazidi mtaani kifedha ?

Ama ukiweza pata mahitaji ya msingi and extra luxuries?..

Kila mtu ana kipimo cha pesa anayohitai
 
Kwenda shule ni some times ni kupoteza muda!!!



Kuna watu watasema nasema hivo sabab cjaenda shule..mm nmesoma sn ndo maana masema hiv
Uko sahihi mkuu hata Mimi nimegundua hilo.
Kwa Tanzania kadri unavyozidi kusoma sana ndio kadri unavyozidi kupunguza asilimia za kufanikiwa na kuwa kituko ktk jamii.
E.g Lpumba,Palamgamba,Shika.
 
Nilichojifunza hapa ni kuwa KOMAA NA MAARIFA YA KITU AMBACHO UNATAKA KUWA MASTER NACHO.
Yes ulaya ndio wanaishi hivyo.
Kuna watu kule German Wana certificates za Engineering tu na wanaspecialize tangu akiwa primary anasoma mashine moja tu.
Sasa ukienda naye site mwenye masters au phd ya tz akasome.
 
Hata Kama hao uliowataja wamesoma lkn hawakusoma Kama sisi kukariri masomo 20 kwa mwaka bali walikuwa wanasoma huku wakijiandaa na talent yake itakayompatia pesa badae.
Na huu ndio usomaji wa wazungu na wahindi,hawasomi Kama sisi ile unakomaa hadi masters halaf hujui utafanya kazi gani
 
Exactly umetisha sana ishu kumbe sio kwamba elimu haina msaada ila elimu ya aina gani tunayopata ndio itaamua tuishie wapi kujikwamua kiuchumi.
 
tatizo linalofanya shule isionekane nichanzo cha mafanikio huku ikiwa mafanikio yana itaji maarifa na shule inatoa maarifa ni kwa sababu...binadam hufanikiwa kwa kufanya kitu anachopenda ndipo unakutana natatizo la shule zetu kutufundisha ilimrad bila ata kumuelewa mwanafunzi anapenda nini zaidi...ndiomana mwisho wa siku waliofanikiwa niwatu walio jiongeza ..watoto wa mjini wanasema


...by mjukuu wa king solomon
 
Shule na mafanikio vinaenda pamoja. Shule inaondoa ujinga ili uweze kupambana kwa weledi wa hali ya juu. Mafanikio bila shule ni kubahatisha ndio maana kazi nyingi za waliofanikiwa bila shule hufanywa na walioenda shule. Shule + mafanikio ni raha zaidi kuliko mafanikio bila shule.
 
Mmmmmmmmh kwani kusema mtu amesoma ni mpaka afikie kiwango gani?maana hata kuishia darasa LA saba napo ni kusoma au umeclaim mpaka awe degree holder?maana in real sense hakuna tajiri duniani ambaye ajasoma na kama unamjua naomba unitajie,ko bandiko lako linakosa mantiki maana kukuta MTU hajasoma na ni tajiri never,may be huseme KIWANGO CHA ELIMU VS MAFANIKIO OK.
 
Safi sana...

Ili ufanikiwe fanya kile unachokiweza zaidi kwa ufanisi na moyo wote... kitakuletea mafanikio unayoyatazamia...



Cc: mahondaw
 
Hahaha kwani mafanikio ni nini pesa au vitu?!
Kusoma ni kujiandaa au unaandaliwa ukatumike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…