fungi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,539
- 4,673
Mbezi beach ipo vzur,walimu wa kutoshanenda mbezi beach hutajutia matokeo yao ni mazuri sawa na wanaolipa ada milioni tatu na kuendelea nenda hapo sikushauri uende kwengine
Kinachowafanya shule isiwe juu ni kutochuja kweny interview ya kujiunga
Anachokifanya mbowe ni kuchukua wanafunzi bila ya mchujo then term exam anawachuja ndo mana atleast huwa hapati zero kizembe
Ada ni lak 8 na points kadhaa