PreGE2025 Shule 868 zimekarabatiwa

PreGE2025 Shule 868 zimekarabatiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,770
Reaction score
1,173
SHULE 868 ZIMEKARABATIWA

Shule 868 zimekarabatiwa zikiwemo za msingi 794 na za sekondari 74 na kuweka mazingira mazuri ya wanafunzi kujipatia elimu.

Serikali imeendelea kujenga na kukarabati miundombinu ya elimu pamoja na kuhifadhi na kuendeleza mazingira ya shule hizo kama ilivyoelekezwa kwenye ibara ya 80(i)(a) ya Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025.

Huu ni utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 kuanzia Novemba, 2020 hadi Machi, 2025.
 

Attachments

  • IMG-20250418-WA0139.jpg
    IMG-20250418-WA0139.jpg
    224.6 KB · Views: 10
Back
Top Bottom