Shule 24 kutoa wanafunzi kujiunga JKT mwaka huu

hakuna nchi inayoongozwa kisanii na kifala kama Tanzania, anayebisha abishe tu
 
Nawaonea huruma sana watakao enda bulombora na mafinga iringa kuna shuruba ya kufa mtu.....
 
Nawaonea huruma sana watakao enda bulombora na mafinga iringa kuna shuruba ya kufa mtu.....
we unadhani jkt ya sasa inaweza kuwa kama ya enzi hizo?? Sasa hivi mambo yote ni dot.com na sidhani kama watawanyimaq uwezekano wa kutumia laptops zao angalau hata saa moja kwa siku na hapo ni mbali na kuwa na simu zenye full internet!
Ukitafakari hapo ndipo unapata jibu kwamba hili zoezi na sawa na kumfundisha mbwa mzee mbinu za kisasa za uwindaji

 
Mimi nawaasa maafande wetu to adhere to the moral ethics hasa kwa hawa mabinti zetu. Ni vyema kutambua kwamba hiki kizazi cha dot com ni cha chips MAYAYI pia waiunge mkono dunia kuepusha maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI chonde chonde.
 
Wakuu nimechaguliwa kambi ya Bulombora Kigoma.Kwa yoyote anayejua hali ilivyo huko anijuze tafadhali.Shukran
 
Wakuu nimechaguliwa kambi ya Bulombora Kigoma.Kwa yoyote anayejua hali ilivyo huko anijuze tafadhali.Shukran
tafuta mawe ya kutosha ya kuzuia sumu za nyoka maana huko cobra ni kama mijusi tu kwa jinsi walivyo wengi
 
Back
Top Bottom