boflo nakuheshimu bwana!!!!!
Unajua jamaaa wanaosema Dhaifu halafu wanaendelea kunyenyekea, nawafananisha na mwamnamke anayesema kuwa mwanaume wangu ni dhaifu kwenye Mambozi lakini haondoki kwa huyo mwamamume na bado anamvulia nguo. Kama wewe shupavu si ukamvulie mwanaume mwingine, haya mengine yanatokana na Shida za watu.