Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,882
- 38,513
Halafu madam nitakutafuta. Nina jambo nafikiri nitahitaji msaada wako.Vaa barakoa boss! Unaangaliaga mbali sana na wewe khaa😆😆
Halafu madam nitakutafuta. Nina jambo nafikiri nitahitaji msaada wako.Vaa barakoa boss! Unaangaliaga mbali sana na wewe khaa😆😆
Karibu!Halafu madam nitakutafuta. Nina jambo nafikiri nitahitaji msaada wako.
Hongera kwa kupokea na kufuata ushauri wenye manufaaMnamo 24/05/2020 nilikuja hapa jf nikiwa na changamoto ya kuchangishwa sh.30,000/- kwa ajili ya umeme katika nyumba niliyokuwa nimepanga!Asanteni sana kwa ushauri wenu.
Nimeamua kutafuta nyumba nzima ili nijitegemee kila kitu!Ajabu kwa siku sizidishi hata unit 1,kweli nilikuwa ninaibiwa kama wengi mlivyosema!Asanteni sana!Kweli jf ni kila kitu!Zaidi ya yote nimefanikiwa hata kununua uwanja wangu!
ASANTENI SANA!
Ni kweli ila haitoshi kwani nimepata kanyumba ka vyumba viwili na sebule kanakojitegemea kila kitu nje kidogo ya jiji kwa 100000/- kwa mwezi Mimi kananitosha kulingana na shughuli zangu!Kma uko alone ungevumilia tu..hiyo hela ya kupanga nyumba nzima si bora ungeianzishia ujenzi??au !
Niko na mke wangu naye uvumilivu umemshindaKma uko alone ungevumilia tu..hiyo hela ya kupanga nyumba nzima si bora ungeianzishia ujenzi??au !
Umenunua uwanja wako? kutoka kwako mwenyewe? au lugha gongana?Mnamo 24/05/2020 nilikuja hapa jf nikiwa na changamoto ya kuchangishwa sh.30,000/- kwa ajili ya umeme katika nyumba niliyokuwa nimepanga!Asanteni sana kwa ushauri wenu.
Nimeamua kutafuta nyumba nzima ili nijitegemee kila kitu!Ajabu kwa siku sizidishi hata unit 1,kweli nilikuwa ninaibiwa kama wengi mlivyosema!Asanteni sana!Kweli jf ni kila kitu!Zaidi ya yote nimefanikiwa hata kununua uwanja wangu!
ASANTENI SANA!
Uwanja nilinunua baada ya kujikusanya kwa muda mrefuUmenunua uwanja wako? kutoka kwako mwenyewe? au lugha gongana?