Mwigamba son
Member
- Jan 11, 2012
- 27
- 6
Nakushukuru mkurugenzi mkuu wa NBS kwa uamuzi wako wa busara kwa kuwaruhusu vijana waliohitimu kidato cha nne na kuendelea, kutuma maombi ya kazi ya muda kama makarani wa sensa katika zoezi la sensa kama ilivyotangazwa katika website yenu. Mimi kama kijana nliyehitimu chuo na sina kazi nimepata tumaini jipya tofauti na mara ya kwanza ambapo waziri mkuu wa tanzania alielekeza kuwa zoezi hilo lingefanywa na walimu pamoja na watumishi wengine wa umma na kuwanyima fursa vijana.
UAMUZI WAKO UNGEKUWA NA TIJA KWA VIJANA ZAIDI YA HAPO KAMA UNGEWAHUSISHA WATU WASIO NA AJIRA PEKEE NA KUWAACHA WALE AMBAO TAYARI WANA AJIRA.,
UAMUZI WAKO UNGEKUWA NA TIJA KWA VIJANA ZAIDI YA HAPO KAMA UNGEWAHUSISHA WATU WASIO NA AJIRA PEKEE NA KUWAACHA WALE AMBAO TAYARI WANA AJIRA.,