Shukrani kwa JF.

Shukrani kwa JF.

SIMEON KATATANAMA

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
479
Reaction score
277
Wakuu napenda kuwashukuru sana wana JF kwa msaada wa taarifa za kazi. Nimepata kazi mwezi uliopita kutokana na tangazo lililoletwa humu JF. Naahidi kuichangia JF ili izidi kusonga mbele. Ahsanteni sana.
 
Hongera sana mkuu....
Wengine bado tuna hangaika ila kiimani siku ipo kazi itapatikana.
Usisahau ibada.
 
Sifa,Heshma anastahiri Mungu wetu aliyekupa
kazi kupitia JF,cha msingi na muhimu ni kwenda
kumshukuru Mungu kwa mambo makuu aliyokutendea hasa hili la kazi.


""Mungu ni MwemA"
Kila Iitwapo Leo.
 
Sifa,Heshma anastahiri Mungu wetu aliyekupa
kazi kupitia JF,cha msingi na muhimu ni kwenda
kumshukuru Mungu kwa mambo makuu aliyokutendea hasa hili la kazi.


""Mungu ni MwemA"
Kila Iitwapo Leo.

Amen! And we shall all know and understand that!
 
Wakuu napenda kuwashukuru sana wana JF kwa msaada wa taarifa za kazi. Nimepata kazi mwezi uliopita kutokana na tangazo lililoletwa humu JF. Naahidi kuichangia JF ili izidi kusonga mbele. Ahsanteni sana.


pmswa.jpg
 
Hongera...kutoa sadaka ya shukrani ni muhimu..
 
Hongera sana mkuu....
Wengine bado tuna hangaika ila kiimani siku ipo kazi itapatikana.
Usisahau ibada.

Kila jambo linawakati wake mkuu, mimi nimekaa benchi nikijihusisha na ufundi ujenzi kwa mwaka 1, huku nikitumia kile ninachokipata huko katika kufanya applications sehemu mbalimbali. Kwahiyo, mkuu naomba usikate tamaa maana Mungu ni mwaminifu, haukwenda shule bahati mbaya, ipo siku Mungu atakutendea, kwa wakati wake.
 
Sifa,Heshma anastahiri Mungu wetu aliyekupa
kazi kupitia JF,cha msingi na muhimu ni kwenda
kumshukuru Mungu kwa mambo makuu aliyokutendea hasa hili la kazi.


""Mungu ni MwemA"
Kila Iitwapo Leo.
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako.
Katika maisha yangu yote, nimejifunza kumshukuru Mungu kwanza kwa neno na kwa tendo (sadaka ya shukrani) kabla ya kuwashukuru watu.
 
hongera. ni wachache wanarudi na kushukuru
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom