mult_talented_p
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 103
- 120
Napenda kutoa shukurani zangu kwa bodi ya mikopo, kwa kutuletea mikopo, japo ni kwa baadhi ya wanafunzi wa St. Joseph tulioamishiwa RUCU via Marian University.
Nimeona ni vyema kama nilivoandika barua ya kuomba mkopo kwa Raisi, wiki chache zilizopita, pia nitoe shukrani kwa kutuletea mikopo.
Ahsanteni sana jf, bodi ya mikopo na muheshimiwa Raisi.
Thanks from a University student.
Nimeona ni vyema kama nilivoandika barua ya kuomba mkopo kwa Raisi, wiki chache zilizopita, pia nitoe shukrani kwa kutuletea mikopo.
Ahsanteni sana jf, bodi ya mikopo na muheshimiwa Raisi.
Thanks from a University student.