Shukrani Azam TV


Na chanel zinazoonyesha miereka( WWE) je?
 
Hongera sana kwa Uongozi wa Azam tv nimeipenda hii.
 
Mods unganisheni huu uzi na ule wa kwangu.
 
mbona kwangu haionyeshi na nimejiunga kwenye kifurushi cha azam play? najaribu kuwapigia lakini simu yao inaita muda mrefu bila kipokelewa! inaandika access denied.wadau wenye utaalam waniambie!

jaribu hii wanaokea ndani ya sekunde tu 0764 700 222
 
Tunashukuru Azam Tv kuongeza Star tv kwenye king'amuzi chenu. Asante!
 
Hila akioneshi kitu "access denied" wakati nimelipia 15,000/=
 
mbona kwangu haionyeshi na nimejiunga kwenye kifurushi cha azam play? najaribu kuwapigia lakini simu yao inaita muda mrefu bila kipokelewa! inaandika access denied.wadau wenye utaalam waniambie!

Leo wikendi nadhani hua hawapokei, nimewahi kupiga wikendi simu haikupokelewa hadi weekdays
 
mbona kwangu haionyeshi na nimejiunga kwenye kifurushi cha azam play? najaribu kuwapigia lakini simu yao inaita muda mrefu bila kipokelewa! inaandika access denied.wadau wenye utaalam waniambie!

bonyeza Menu>auto search
 
Warekebishe sehemu ya kuonyeshea matokeo wakati mpira unapoonyeshwa
 
azam funga kazi bado kutuwekea channel ya epl japo mechi mbili kwa wiki. shukrani azam media.
 
nami naungana nanyi kutoa shukrani kwa ubora wa huduma za king'amuzi cha Azam,ninaomba Capital Tv iingizwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…