Well, wale wanobeza nguvu ya Chadema, kwa kutumia misemo ile ya zamani kuwa wapinzani hawakubaliki Vijijini hizi harakati za Zitto Kabwe zinawasuta.
Zitto na Demokrasia
Wanaopenda kusema wapinzani hawakubaliki vijijini wanataka kuhalalisha wizi wa kura, mana wanajua ni rahisi kuiba kura za vijijini.
Zitto na Demokrasia
Wanaopenda kusema wapinzani hawakubaliki vijijini wanataka kuhalalisha wizi wa kura, mana wanajua ni rahisi kuiba kura za vijijini.