Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,767
Habari za leo Ndugu zanguni.
Natumaini wote wazima kabisa wa afya na buheri. Leo katika mada yetu tungependa kupata wasaa moja mbili kutoka kwa wahusika wa humu walio tayari na experience katika Biashara yeyote ile.
Ningependa tushare shuhuda mbalimbali walizokutana nazo pindi mnaanza kufungua Biashara zenu ilikuwaje katika siku za kwanza .Ili iwe motisha kwa wale tunaoanza ugumu wa pale mwanzoni. JE ILIKUWAJE SIKU YAKO YA KWANZA KATIKA BIASHARA YAKO TOA USHUHUDA UWE MOTISHA.
Uzi wa kutiana moyo hasa kwa wale matured kwenye Biashara.
Natumaini wote wazima kabisa wa afya na buheri. Leo katika mada yetu tungependa kupata wasaa moja mbili kutoka kwa wahusika wa humu walio tayari na experience katika Biashara yeyote ile.
Ningependa tushare shuhuda mbalimbali walizokutana nazo pindi mnaanza kufungua Biashara zenu ilikuwaje katika siku za kwanza .Ili iwe motisha kwa wale tunaoanza ugumu wa pale mwanzoni. JE ILIKUWAJE SIKU YAKO YA KWANZA KATIKA BIASHARA YAKO TOA USHUHUDA UWE MOTISHA.
Uzi wa kutiana moyo hasa kwa wale matured kwenye Biashara.