Shuga mamy

Shuga mamy

Wanaume wa dar mnapenda miteremko sana, mume wake atakutafuta tu ametumia lugha ya kuwa urudishe tu hela ili asikustue. Jipange kujazwa
 
Naamini kbs jamii forums ni gwiji wa ushauri ,,
Miaka kadhaa iliopita Nilikua Tanga kwa mapumziko kwasababu ndo nyumbani sasa ktk pitapita zangu nikakutana na kijana ambae tunafahamiana tukasalimiana pale lkn alivyoona simu yangu akaniuliza vp kaka simu yako INA WhatsApp nikamjibu ndio.
Akaniambia naomba kuna mtu niingize Namba yake nimcheki kaniambia yupo WhatsApp nawasiliana nae lkn sjawahi kumuona,,
Nikampa akaingiza namba akamuona Mara akamtumia msg lkn hakua online kwahio hakujibu
Nikamuuliza huyo mbona ni mtu mzima ni Nani wako akacheka tu hakunijibu,, basi akafuta namba akanipa sim yangu nikaondoka,
Yule mama alivyowasha data akakuta ule ujumbe akanipigia nikajaribu kumuelewesha ilivyokua

Tatizo likaanza hapo kila siku ananitumia sms za kunisifu kua mimi ni kijana mzuri na mambo kibao mimi nikawa simjibu ,
Akapiga nikapokea akaniuliza vp mbona hujibu sms zangu au huna vocha nikamjibu ndio akanitumia vocha 5000
Siku zilivyozidi kusonga mbele ndo tukazidi kuzoeana na akaniambia yeye yupo mkoani yani nimbali nauli kama 70000 nikitaka kwenda atanitumia,,, akaniambia nikiwa na shida nimuambie atanisaidia..

Siku moja nikamjaribu kua nina shida ya laki mbili akanitumia kwakweli sjaamini nikaenda kutoa fasta duh nikajua hapa nimempata .

Maisha yalienda hivyo kuhusu laki au laki mbili nilikua natumiwa. Na alidai ananipenda haswa na ni mtu mzima ana watoto wa tano

Mwezi uliopita nilimpigia simu nikamueleza shida yangu kua ninashida ya laki NNE akanitumia
Sasa hapo ndo shida ilipoanza kumbe ile pesa alichukua dukani kwa mume wake na mume wake mahesabu aliyaweka vzr ,,wiki iliopita akanipigia anataka nimrudishie ile hela nikamuambia sina kitu pesa yote nimemaliza labda nikutaftie au subiri mwisho wa mwezi akaniambia ukweli kua pesa alizokua ananitumia alikua anachukua dukani sasa safari hii imejulikana kwaio kamwambia mumewe kua kuna mtu kamkopesha kwahio sasa pesa ya watu inasubiriwa na tarehe ndo hizi zimefika ,,na usawa huu wa magu laki NNE ni ndefu jamani tangu Jana ananipigia na ukweli ni kua hatujawahi kuonana
Nipeni ushauri wadau nimpotezee au kwasababu pesa za kurudisha sina na imekua ghafla
Natumaini hamtanipotosha
Asanteni
mtumie anashida!
 
Naamini kbs jamii forums ni gwiji wa ushauri ,,
Miaka kadhaa iliopita Nilikua Tanga kwa mapumziko kwasababu ndo nyumbani sasa ktk pitapita zangu nikakutana na kijana ambae tunafahamiana tukasalimiana pale lkn alivyoona simu yangu akaniuliza vp kaka simu yako INA WhatsApp nikamjibu ndio.
Akaniambia naomba kuna mtu niingize Namba yake nimcheki kaniambia yupo WhatsApp nawasiliana nae lkn sjawahi kumuona,,
Nikampa akaingiza namba akamuona Mara akamtumia msg lkn hakua online kwahio hakujibu
Nikamuuliza huyo mbona ni mtu mzima ni Nani wako akacheka tu hakunijibu,, basi akafuta namba akanipa sim yangu nikaondoka,
Yule mama alivyowasha data akakuta ule ujumbe akanipigia nikajaribu kumuelewesha ilivyokua

Tatizo likaanza hapo kila siku ananitumia sms za kunisifu kua mimi ni kijana mzuri na mambo kibao mimi nikawa simjibu ,
Akapiga nikapokea akaniuliza vp mbona hujibu sms zangu au huna vocha nikamjibu ndio akanitumia vocha 5000
Siku zilivyozidi kusonga mbele ndo tukazidi kuzoeana na akaniambia yeye yupo mkoani yani nimbali nauli kama 70000 nikitaka kwenda atanitumia,,, akaniambia nikiwa na shida nimuambie atanisaidia..

Siku moja nikamjaribu kua nina shida ya laki mbili akanitumia kwakweli sjaamini nikaenda kutoa fasta duh nikajua hapa nimempata .

Maisha yalienda hivyo kuhusu laki au laki mbili nilikua natumiwa. Na alidai ananipenda haswa na ni mtu mzima ana watoto wa tano

Mwezi uliopita nilimpigia simu nikamueleza shida yangu kua ninashida ya laki NNE akanitumia
Sasa hapo ndo shida ilipoanza kumbe ile pesa alichukua dukani kwa mume wake na mume wake mahesabu aliyaweka vzr ,,wiki iliopita akanipigia anataka nimrudishie ile hela nikamuambia sina kitu pesa yote nimemaliza labda nikutaftie au subiri mwisho wa mwezi akaniambia ukweli kua pesa alizokua ananitumia alikua anachukua dukani sasa safari hii imejulikana kwaio kamwambia mumewe kua kuna mtu kamkopesha kwahio sasa pesa ya watu inasubiriwa na tarehe ndo hizi zimefika ,,na usawa huu wa magu laki NNE ni ndefu jamani tangu Jana ananipigia na ukweli ni kua hatujawahi kuonana
Nipeni ushauri wadau nimpotezee au kwasababu pesa za kurudisha sina na imekua ghafla
Natumaini hamtanipotosha
Asanteni
Subir kuliwa nyota mkuu
 
Samahani kjana, ' Ulipomaliza darasa la saba ulikuwa unajua kuandka,kuhesabu na kusoma vzur japo kwa lugha ya kiswahili?' Mimi kama mwanaume timamu simlaumu Huyo Mama Ila nakulaumu wewe kjana mwenzangu uliyekubali kula fedha ya Mama wa wa2 na ww hutaki kuonyesha ushirikiano hilo ni kosa kubwa sana ndy maana sometimes huwa tunapigwa risasi,kulogwa na hata kuliwa ndogo (0713.....) Kutokana na vsa.Ninachokifaham ni kuwa ndoa zinachangamoto nyingi sana unaweza kuta ndani ya ndoa Mama haridhishwi na Mumewe so ameamua kutafuta kjana wa kumkuna kiaina so zali likakudondokea ww,amini huyo Mama anapokupa fedha cyo kwamba hanamahali pa kuzpeleka ni kwakuwa tu mapenzi yamemjaa kichwani so, yeye kwa hivi sasa anaendeshwa na hisia na cyo ufaham na utashi wake...Jitahdi umrudishie fedha zake zote alizowahi kukupa na umwache Mama wa wa2 iliapate nafac ya kumtafuta atakayeweza kushika hyo nafasi na cyo ww tapeli kwa kuwa hata yeye ameshagundua kuwa ww ni tapeli ndyo maana ameamua kukudanganya ili urudishe hzo fedha ili aachane na ww kabla hajawa an absolutely looser
 
Kwanza sipendi huo msamiati "Sugar Mummy", huku ni kuwavunjia heshima wanawake watu wazima hasa wenye wapenzi wenye umri mdogo, jambo ambalo sio kosa. Pia neno "Marioo" watu mnakosea kulitumia...Marioo ni mpenzi wa kiume asiye na mchango wowote kiuchumi kwenye penzi lake na mwanamke bila kujali ni mkubwa au mdogo kiasi.

Watu wakipendana, waacheni. Kuhusu mtoa mada, ushauri wangu ni kwamba kama hukuwa na nia ya dhati na mwanamke huyo, ni heri ukaacha kujihusisha kimapenzi na wanaokuzidi kipato au umri maana unaonekana hujui namna ya kudeal nao bila kuleteana matatizo.
 
Asanteni kwa kushiriki lkn kwa usawa huu pesa sitarudisha na simu sitapokea
 
Mwambie ukweli huna hela ya kulipa, atajijua yeye na ujinga wake zero kabisa huyo mwanamke.
 
Kuna wakati wanaume wanaoa mpaka visivyooleka, imagine mume anawekeza kwenye duka kumbe mkewe ndo kafanya la kulelea masharo wa mjini!!!!

Yaani kuna wanawake ni zaidi ya changamoto kwa kweli.....

We rudisha hiyo hela, si kwa sababu ya huyo mwanamke ila sababu ni ya mwanaume mwenzio. Jione kama ulikuwa umekopa mahali, usimrudishe mtoto wa mwanaume mwenzio nyuma sababu ya huyo mkewe mpuuzi!!!
Kweli kabisa yaani ile kisela auvae uhusika. Dah inauma sipati picha mtu anahangaika dukani halafu u unaiba inaumiza sana...!!!!
 
Back
Top Bottom