Asante, nitasahihisha tahajia katika wikipedia; maana kamusi zina zote mbili kwa kipimo, na kwa maneno yenye maana mbalimbali ("homonym") ni vema kujua ipi inaeleweka rahisi zaidi..Maisha yangu yote nimekulia bara, sijaishi au kukaa pwani. Ufahamu wangu wa kiswahili ni kwamba neno 'shubiri' kwangu lina maana ya ladha kali inayokaribiana na pilipili. Hiyo maana nyingine ya kipimo ndio nimeisoma kwenye thread, sikuwa naifahamu ng'o!
Maisha yangu yote nimekulia bara, sijaishi au kukaa pwani. Ufahamu wangu wa kiswahili ni kwamba neno 'shubiri' kwangu lina maana ya ladha kali inayokaribiana na pilipili. Hiyo maana nyingine ya kipimo ndio nimeisoma kwenye thread, sikuwa naifahamu ng'o!
Unaendesha darasa la kiswahili huko uliko?Mimi naishi Moshi. Ntajiungaje?Kunidonolea kidogokidogo hapa jf hainitoshi!Shubiri siyo kali, shubiri ni chungu.
Unaendesha darasa la kiswahili huko uliko?Mimi naishi Moshi. Ntajiungaje?Kunidonolea kidogokidogo hapa jf hainitoshi!
Hili darsa la jf la kuvizia mtu akosee halafu unamrukia na rangi nyekundu kusahihisha silitaki.Ama fanya hivi: Kwa kuwa umeshaona makosa mengi ya lugha ya kiswahili, fungua bonge la thread jukwaa la lugha yenye title:'Makosa ya kiswahili hapa jf yafanywayo na wanajf.........'Sina darasa popote bali nnaendesha darsa humu JF.
Hili darsa la jf la kuvizia mtu akosee halafu unamrukia na rangi nyekundu kusahihisha silitaki.Ama fanya hivi: Kwa kuwa umeshaona makosa mengi ya lugha ya kiswahili, fungua bonge la thread jukwaa la lugha yenye title:'Makosa ya kiswahili hapa jf yafanywayo na wanajf.........'
Hii ya kuvizia thread za jf si nzuri na nimeshaona madhara yake, unatukanwa na kukashifiwa sana ingawa hujali lakini si vizuri dadangu!
Pole. Hiyo thread ya kukaribisha maswali kutoka kwa wanajf ni sawa na kuingiza kidole kwenye mzinga wa nyuki.Wanajf wengi wanapenda mzaha kupita kiasi.Hilo lisikutishe, lipo darsa lanu rasmi humu, tena ni zaidi ya lugha, pitia hapa: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
Pole. Hiyo thread ya kukaribisha maswali kutoka kwa wanajf ni sawa na kuingiza kidole kwenye mzinga wa nyuki.Wanajf wengi wanapenda mzaha kupita kiasi.
Pointi yangu ilikuwa si kukaribisha maoni au maswali ila kuchukua eneo la kiswahili lenye mkanganyiko sana na kulielezea. Kwa mfano: Je, ni sahihi kusema timu A iliweza kufungwa mabao 2 kwa 1? Au je, ni sahihi kusema: Tunatoa mkopo kwa akinamama ili kuwawezesha kuweza kuanzisha miradi midogo.
Dada FaizaFoxy tafuta maeneo yanayokosewa kwenye lugha uyazungumzie kitaalamu maana nikuonavyo wewe ni mtaalamu wa lugha ingawa hutaki kuweka wazi hivyo.
Mwaga basi hilo darsa dada ili sie wenye tatizo la elimu tufaidi.Ingiza mwili wote kwenye mzinga!Watu wanaweka miili yao kwenye mizinga ya nyuki wacha kutia kidole tu.
Tatizo ni elimu yako, sitaki kufunguwa darasa, mimi nnamwaga darsa
Unaijuwa tofauti lakini?
Asante kwa mchango wako! Naona ni kweli ukisema umbo sahihi zaidi ni SHIBRI au tuseme SHIBIRI maana neno latokea Kiarabu شبر shibr. Watu wa chuo kikuu (TUKI, sasa TATAKI) katika kamusi walichagua tahajia hii:Hakuna kipimo kinaitwa SHUBIRI usahihi wa kipimo hicho ni SHIBRI.Kipimo cha shibri hutumika sana na waislamu katika kupima zakat al fitri hasa nafaka.Kwa kawaida kipimo cha shibri moja ni sawa na 2.5kg na huwa kiganja cha mkono.
Kwa ufupi shubiri si kipimo bali ni ya uchungu na kitu kiitwacho shubiri na shibri ni kipimo kama nilivyokigusia hapo juu.Kwa faida tamko "SHIBRI" ni tamko la asili ya kiarabu.
Hicho ni kipimo kilichotumika zama za mtume alayhisalaam,kwa ajili ya kupata kiasi cha kutoa zakat al fitr kwa wale wasio jiweza ili waweze kufurahika siku ya idd.Yaani mwenye uwezo alikuwa anapima nafaka iwe ngano au mchele kwa ajili ya kuwapa wale wasio jiweza.Asante kwa mchango wako! Naona ni kweli ukisema umbo sahihi zaidi ni SHIBRI au tuseme SHIBIRI maana neno latokea Kiarabu شبر shibr. Watu wa chuo kikuu (TUKI, sasa TATAKI) katika kamusi walichagua tahajia hii:
"shubiri [i-/zi-] measure between tips of the thumb and the middle finger. "
Ila tu naomba: sielewi ni namna ganu watu (Waislamu) wanatumia kipimo cha "shibr = kiganja cha mkono" kwa ajili ya nafaka kilogramu 2.5?
shubiri imetoholewa kutoka huko unakosema ikimaanisha pia kipimo;msome o mfatilie andanenga sauti ya kiza alilichambua xn suala hil!Hakuna kipimo kinaitwa SHUBIRI usahihi wa kipimo hicho ni SHIBRI.Kipimo cha shibri hutumika sana na waislamu katika kupima zakat al fitri hasa nafaka.Kwa kawaida kipimo cha shibri moja ni sawa na 2.5kg na huwa kiganja cha mkono.
Kwa ufupi shubiri si kipimo bali ni ya uchungu na kitu kiitwacho shubiri na shibri ni kipimo kama nilivyokigusia hapo juu.Kwa faida tamko "SHIBRI" ni tamko la asili ya kiarabu.