Hahaha, chezeiya KING'. makaveli mwanzo mwisho, hapo mie naonaga shower gel ya bei ghali ni msele aisee. Hizo za FA mbona supermarket ya mangi zipo? Ukijisogeza avon na victoria sec aaah wekundu watatu maximum. Mi sijawahi hata kugoogle paco rabanne wala cK shower gel. Si bora kiperfume cha kutokea? (perfume shurti nyingi kwa dressing table, kuna ya kuendea kariakoo, ofisini, ngwasuma na savannah lounge).