Hizo nyimbo zinaonyweshwa kwenye tv gani? Kama si za Tanzania. Utamaduni wa kiafrica ni kuvaa nguo fup. Mababu zako walivaa magauni? Kama hampendi nguo fup amieni uganda
Mkuu nawe na hao wenzio msiotaka kukosolewa hamieni Marekani mvae hizo skirt fupi unazotaka, mkaoane wanaume kwa wanaume, mkaone na wanyama na mengine yote unayoona hapa Watanzania hawayataki...! America sio Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.