babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Mimesoma kwenye Instagram ya Harmonize ameandika show yake iliyokuwa ifanyike usiku huu imezuiwa.
Show hiyo ilikuwa na kibali cha mpaka 6.00 lakini polisi wameizuia.
Ameandika bado hajabahatika kujua sababu ni nini!
Sikiliza hii clip pia Harmonize akipewa taarifa.
Show hiyo ilikuwa na kibali cha mpaka 6.00 lakini polisi wameizuia.
Ameandika bado hajabahatika kujua sababu ni nini!
Sikiliza hii clip pia Harmonize akipewa taarifa.