Should African Countries Recognize The Libyan Rebels?

true story.au wamefanya nini libya mpaka nchi za kiafrika zigipendekeze kufanya kazi na waasi waliopindua serikali halali ya col ghadafi?

Tangu lini serikali ya Gaddafi ikawa halali halafu ya NTC iwe haramu? Kama kupindua kunaifanya serikali ya NTC kuwa haramu basi hata ya Gaddafi ni haramu maana nae alimpindua mfalme Idris.
 
Serikali ya JK ni legelege na haina umahili. Hila kwa hili la Libya wako sawa kwa kutofanya maamuzi kwa kuiga serikali nyingine--kwa hili nakubaliana nawe Mwita25. Pia ile serikali ya Rebel iko kinyume na katiba ya African Union (check Article 4(p) ya Consitituve Act of AU). So Tanzania pia haiwezi kuitambua kama ni serikali halali. Kenya ni wazee wa kutafuta sifa za kijinga kutoka mataifa ya magharibi.

Kama hawawezi kuitambua serikali ya waasi, waliitambuaje serikali ya muasi Gaddafi!
 
.....
Na kwa kupenda sifa wajaluo hawa wasiomjuwa Ngaliba wala kwenda suna waliamua kuweka mapumziko eti kisa mkono wa sweta mwenzao kaingia white house...

Sasa kama si usakala ni nini?
Acha kuchangia kama vile una mtindio wa ubongo hapa, hizo lugha za vijiweni hapa sio mahali pake, nani kakuambia kuwa kila mjaluo hamjui ngaliba. Nadhani pana haja ya JF kuscreen out watu wasiokuwa wastaarabu, wasioelimika na wenye umri chini ya miaka 18, na pia wanaoshinda kwenye vijiwe vya kahawa, maana watu hawa wanaleta post zisizofaa na zenye dharau za kizamani za kikabila.
 
Mkuu Malkia sio kiongozi wa serikali, kwa uelewa zaidi nenda kasome aina za serikali ktk civics form two utagundua kuwa malkia ni picha tu wala sio kiongozi wa serikali kama Gaddafi.

Hakuja haja ya Civics kwanini Atumie pesa nyingi za serikali ya UK kwa harusi ma mengineyo kama si kiongozi. maana shida ya gadafi ni matumizi ya rasilimali za nchi kifamilia zaidi. katiba uk inasemaje juu ya position ya malkia na nguvu kiasi gani kwenye serikali? tuache form two huko mi nilipita tu.
 
siyo kila kitu kikifanywa na kenya ni sahihi.......vingine ni nuksi......wewe tangu lini ukawatambua vibaraka wa nato ambao wanaua wananchi wasio na hatia.....
Kenya wenyewe wamezoea kupata faida kwa hasara ya wengine.....ndiyo maana kuna pengo kubwa mno kati ya wenye nacho na wasio nacho........ Na napenda kuchukua fursa hii kuwaonya watu wa sudan ya kusini.....kaeni chonjo na kenya......mtakuja kulia..
 
siyo kila kitu kikifanywa na kenya ni sahihi.......vingine ni nuksi......wewe tangu lini ukawatambua vibaraka wa nato ambao wanaua wananchi wasio na hatia.....
Kenya wenyewe wamezoea kupata faida kwa hasara ya wengine.....ndiyo maana kuna pengo kubwa mno kati ya wenye nacho na wasio nacho........ Na napenda kuchukua fursa hii kuwaonya watu wa sudan ya kusini.....kaeni chonjo na kenya......mtakuja kulia..

Mkuu wa Katesh,

Unajua siku hizi humu jamvini kameingia kale kaugonjwa kanakoitwa Nairobi Flies....
 
Wewe umechelewa sana.Yaani unataka nchi yako ishirikiane na haya matapeli ya NTC.Hawa ni makarai ya wamarekani,hawana lolote.Most probably wewe ni Mason.
Tafadhali soma hii habari....

Kenya on Tuesday expressed willingness to work with Libya’s interim authorities in restoring the country.
Acting Foreign Affairs minister George Saitoti said Kenya would cooperate in restoring order, forging reconciliation and national cohesion, restoring infrastructure and reviving the economy.


“Kenya stands ready to work with the people of Libya, the African Union and the international community to help build a new Libya,” Prof Saitoti said in a statement on Tuesday evening.

“With the impending collapse of the regime of Colonel Muammar Gaddafi, Kenya urges that all efforts be exerted for the early restoration of peace and stability in Libya,” he added.

“Consistent with the AU road map for Libya, Kenya has always believed that only a political solution will make it possible to fulfil the mutually reinforcing objectives of peace and democracy.”

“Our foreign policy priorities seek to promote economic development and prosperity by increasing market access, capital inflow and advanced technological advancement,” he said.

Source: Daily Nation 24/08/2011

My take:
Tanzania hata statement bado hakuna. Tulichelewa kuchangamkis fursa Sudan ya Kusini na sasa Libya! tumezeoa kuomba tu lakini kujituma zero. Membe anafanya nini hasa?
 
Tz inapima upepo kwanza, ikiona wengi wanaunga mkono ,usihofu utamwona membe anatoa msimamo!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mbona hujauliza uchaguzi wa malkia elizabeth ulifanyika lini?acha kuropoka
<br />
<br />
Kwan kufanana kwa mfumo wa utawala Uingereza na Libya mbona ni tofauti kabisa.
Malkia huingia kwa kurithi na isitoshe serikali yake huongozwa na wazir mkuu ambae huchaguliwa kwa kura kama ilivyo kwa rais.
Gadaf aliingia kwa mapinduz nae atatoka kwa mapinduz kwan auaye kwa upanga ni dhambi kufa kwa upanga?
Au ndo mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu?
 
Tuna puppet leaders ktk serikali yetu. Tz inategemea sana misaada na ndio maana inaogopa.. Idhubutu kufungua mdomo ione kama itapata misaada.
 
hebu google Gadafi alafu chagua ile wensite ya wikepedia utaona Gadafi urafiki wake mahali pa afrika kuna picha yake na bestii yake Hiyo yasema yote…….
800px-Jakaya_Kikwete_and_Muammar_al-Gaddafi%2C_12th_AU_Summit%2C_090202-N-0506A-678.jpg
 
kenya wamefanya vema, hivi mmesahau libya na ghadafi walimsaidia iddi amini kutuua kwenye vita vya kagera someni historia acheni libya ichapwe na ghadafi afie mbali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom