CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #41
asante mkuu,ushauri utafika pasipo kuedit hata nukta...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie ataingia kwenye orodha ya watakaokufa..................Sijui bhana mi na ile dhana ya age sio kitu mi huwa siiamini sana kwasababu tofauti ya 21 years ni kubwa sana na mara nyingi huwa inasababisha migogoro baadae baada ya kuwa kwenye mahusiano kwa muda.habr za jumapili wanajamvi, shost angu kakutana na mbaba anayemzidi 21 years. huyo mbaba alioa mke wa kwanza akafa,then akaoa mke wa pili pia akafa but co kwa hiv. huyo mbaba kasema yukn tayar kumuoa ila shost anaogopa walivyopishana umri. . . ushauri tafadhali! me nimeshindwa hata nianzeje make napata kigugumizi. karibun
Kama naye anataka kufa akubali kuolewa na huyo mbaba ss hatuna shida tutasema alioa tena mke wa tatu akafa.
Kwa mfano; Uwezo wa wanaume wenye umri mkubwa katika kutimiza ile shughuli yetu unakuwa umepungua hivyo kutokuwa na uwezo wa kumtimizia binti na kumfikisha pale anapotaka. Hali hii humfanya binti kuanza kuangalia wapi ataridhishwa kimwili kwasababu lengo kubwa la binti wakati anaingia kwenye mahusiano hayo huwa ni mali which happens to be their torture baadae
mh,kwanini wasema hvo mkuu?
I understand that cartura, but sikuwa nataka kuangalia specific cases nimetumia mfano ambao uko very general wa kibaolojia. Najua kuna watu wa age hii ya kati wenye matatizo hayo ingawa kiundani its somekinda disability tofauti na age kubwa ambayo age ndiyo inakuwa chanzoissue ya kuridhishwa au kutoridhishwa kingono ina-cut across the board.... wapo age-mates ambao pia wanakumbwa na matatizo ya kuridhishana sexually
hajiulizi kwa nini hao wake zake walikufa na yeye anataka kujipeleka.
love jamani love, love is blind
Mwache aolewe naye aka-rest in peace
wa kwanza et alikufa kwa ugonjwa wa ini, wa pili cancer
wa kwanza et alikufa kwa ugonjwa wa ini, wa pili cancer
.......umri si tatizo, ila huyo baba ana watoto? Yupo tayari kuwa mama wa kambo?
Je kwa nini wake zake walikufa? wakapime ukimwi kwanza kabla ya yote.
jamaa ni mfanya biashara? (just thinking aloud!)
Mie sina shaka na tofauti ya umri ila nna mashaka na mshosti wako naye asije akaRIP. Inaelekea kikojoleo cha huyo mjamaa kina aleji na ndoa.