Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 366
habari wanaJF
Natafuta kijana wa kiume au kike,umri kati ya 18 na 21,mwenye elimu ya kidato cha nne,anayeishi maeneo ya ubungo,kimara au mbezi luis kwa ajili ya kazi ya kuuza duka la vitu vya nyumbani,nipm kama unataka nafasi hii na una vigezo hivyo nilivyotaja.
Natafuta kijana wa kiume au kike,umri kati ya 18 na 21,mwenye elimu ya kidato cha nne,anayeishi maeneo ya ubungo,kimara au mbezi luis kwa ajili ya kazi ya kuuza duka la vitu vya nyumbani,nipm kama unataka nafasi hii na una vigezo hivyo nilivyotaja.