Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 838
Jamani eeh shoga yangu anataka,awe at least maji ya kunde sabab ni black.sana sasa nikamshaur abaki hivyo hivyo akakataa
Mshaurini atumie mafuta gan ya bei ya kawaida na yasiyo na chemical ili awe na uangavu tu mwilini yaan sio weupe uangavu tu angalau akaribie hata robo ya maji ya kunde
Mshaurini atumie mafuta gan ya bei ya kawaida na yasiyo na chemical ili awe na uangavu tu mwilini yaan sio weupe uangavu tu angalau akaribie hata robo ya maji ya kunde