Tatizo polisi na wanajeshi wa Kenya wanapenda sana rushwa...! Hawana tofauti na Polisi wa Tanzania kwa RUSHWA...!
nifafanulie,je hawa ndio walomuua mwangosi?,ndo walomuumiza Kibanda na Dr Uli?,ndio walotupa Bom Arusha???,maana vitendo vyote hivi ni vya kigaidi kwa mtazamo wako
kumradhi hao ni polisi.Hapo kwenye bold acha uongo, walizi wa magetini hawapewi semi automatic machine guns(SMG) kama hao unao waona kwenye picha.
Zaidi ya hapo walinzi wanapewa na vyeo vya jeshi lolote?
Huyo hapo ni Lance Corporal.
Hapo kwenye bold acha uongo, walizi wa magetini hawapewi semi automatic machine guns(SMG) kama hao unao waona kwenye picha.
Zaidi ya hapo walinzi wanapewa na vyeo vya jeshi lolote?
Huyo hapo ni Lance Corporal.
acha uongo wewe hao ndio polis wa Kenya wabisha nini sasa1. Hao wazee sio polisi wala jeshi ni walinzi wa kampuni binafsi waliokuwa wanalinda mabenki na biashara kadhaa hapo westgate. Lakini kama unataka kuona walinzi wazee zaidi njoo mitaa ya samora uone vibabu vinavyolinda na magobole na mgambo with nothing but rungus.
2. Nadhani sisi ndio tuko nyuma zaidi kwa sababu wao wameshtukizwa tu. sisi huku makanisa yamechomwa zaidi ya 20, mapadri wanapigwa risasi, wanamwagiwa tindikali, magazeti na radio (radio iman, al-nuur) zinaeneza ugaidi wazi wazi, masheikh wanapromoti ugaidi waziwazi (ponda, ilunga, basaleh...) lakini wala hatufanyi chochote!
1. Hao wazee sio polisi wala jeshi ni walinzi wa kampuni binafsi waliokuwa wanalinda mabenki na biashara kadhaa hapo westgate. Lakini kama unataka kuona walinzi wazee zaidi njoo mitaa ya samora uone vibabu vinavyolinda na magobole na mgambo with nothing but rungus.
2. Nadhani sisi ndio tuko nyuma zaidi kwa sababu wao wameshtukizwa tu. sisi huku makanisa yamechomwa zaidi ya 20, mapadri wanapigwa risasi, wanamwagiwa tindikali, magazeti na radio (radio iman, al-nuur) zinaeneza ugaidi wazi wazi, masheikh wanapromoti ugaidi waziwazi (ponda, ilunga, basaleh...) lakini wala hatufanyi chochote!
Huna lolote wewehoja ni kuwa ugaidi unaanza kwa uchochezi, halafu vinafuata vitendo ambavyo vikiachiwa vinawapa nguvu wahusika kutenda Ugaidi mkubwa zaidi. Tuko nyuma kwa kuwa hatuchukui hatua zozote kukabiliana na uchochezi.
hoja ni kuwa ugaidi unaanza kwa uchochezi, halafu vinafuata vitendo ambavyo vikiachiwa vinawapa nguvu wahusika kutenda Ugaidi mkubwa zaidi. Tuko nyuma kwa kuwa hatuchukui hatua zozote kukabiliana na uchochezi.
acha uongo wewe hao ndio polis wa Kenya wabisha nini sasa
Wewe jmali mbona hueleweki. unashutumu vyombo vya ulinzi vya Tz au waislamu wa Tz? Maana umeshindwa tu kuwa muwazi moja kwa moja. Kweli kuna masheikh hapa Tz wanahubiri ugaidi! au una lako jambo??? umeshindwa kuchangia mada iliyopo matokeo yake unaanzisha mambo mengine. Hamia kenya basi maana yaonesha Tz panakukera sana. Hovyoooooooooooooooooooooooo!
Wenzetu Kenya huwa wanatucheka sana katika mambo ya maendeleo, lakini katika mambo ya ulinzi wako nyuma sana, tena sana.
Inabidi wafanye jitihada za ziada kujinoa katika mapambano na Al Shabab kunanzia Intelijensia hadi Rapid Response Tactics.
Kuwatumia wazee kama hapo juu wanaofikiria kujitetea kwa kuwaza nyumbani na wajukuu wao itakula kwao.
Hapo kwenye bold acha uongo, walizi wa magetini hawapewi semi automatic machine guns(SMG) kama hao unao waona kwenye picha.
Zaidi ya hapo walinzi wanapewa na vyeo vya jeshi lolote?
Huyo hapo ni Lance Corporal.